Mzee lowassa timiza ile ahadi yako ya kwenda kuwashukuru na pia wakushukuru,maana zile kura mil 6 hawatozipata tena maisha!

Mzee lowassa timiza ile ahadi yako ya kwenda kuwashukuru na pia wakushukuru,maana zile kura mil 6 hawatozipata tena maisha!

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Mzee Lowassa ni vyema ukazunguuka nchi nzima makamanda wakushukuru kwa kuwasaidia kuwapa kumbukumbu ambayo haitoweza kutokea tena kwa wingi wa kura,hata wao wanakiri kuwa bila wewe maisha yao yote wasingefikisha hata nusu ya kura za 2015

Kwa kuwa uliwaahidi kuwashukuru na umeondoka ghafla ni vyema ukawapa nafasi ya kukushukuru.

Kwa hakika hawana mgombea mwingine atakae weza kugusa idadi ile

Kwa muonekano na matatizo waliyonayo na upungufu wa mgombea ni dhahiri yao ni kura 2.5!
 
Tulikusanyika Mbezi ya Kimara kuanzia saa sita za mchana, saa kumi tukaambiwa Mzee Lowassa muda si mrefu atawasili hapo uwanjani akitokea Kawe, kulikuwa na umati wa watu sijawahi kuona. Mabasi ya mikoani hasa yale yaliyokuwa yakitoka Moshi, Arusha nk kuja Dar yalikuwa yakipita na abiria wote ndani ya mabasi wakitupungia mikono huku nwakionyesha alama ya vidole viwili.
Muda ukafika Mzee Lowass akawasili....nadhani hotuba yake ilikuwa fupi kuliko zote kuwahi kutokea dk 2 au 3 ila sio zaidi. Hata hivyo wana Mageuzi tulifurahi sana.

Nikipata nafasi nitahadithia nilivyotoka kwa mguu Luguluni kuja shule ya msingi Msakuzi kumpigia kura Lowassa na Ukawa.
Sitarudia tena kushabikia Upinzani Njaa Kama Huu wa Tanzania.....
1470678945288.jpg
 
Tulikusanyika Mbezi ya Kimara kuanzia saa sita za mchana, saa kumi tukaambiwa Mzee Lowassa muda si mrefu atawasili hapo uwanjani akitokea Kawe, kulikuwa na umati wa watu sijawahi kuona. Mabasi ya mikoani hasa yale yaliyokuwa yakitoka Moshi, Arusha nk kuja Dar yalikuwa yakipita na abiria wote ndani ya mabasi wakitupungia mikono huku nwakionyesha alama ya vidole viwili.
Muda ukafika Mzee Lowass akawasili....nadhani hotuba yake ilikuwa fupi kuliko zote kuwahi kutokea dk 2 au 3 ila sio zaidi. Hata hivyo wana Mageuzi tulifurahi sana.

Nikipata nafasi nitahadithia nilivyotoka kwa mguu Luguluni kuja shule ya msingi Msakuzi kumpigia kura Lowassa na Ukawa.
Sitarudia tena kushabikia Upinzani Njaa Kama Huu wa Tanzania.....
View attachment 1041982
Unaonaje Mbowe akafunguliwa jalada la utapeli wa siasa!
 
Kumbe alipokataliwa wakati yupo cdm alikuwa lowasa mwingine na sasa anaruhusiwa akiwa lowasa mpya?
Mzee Lowassa ni vyema ukazunguuka nchi nzima makamanda wakushukuru kwa kuwasaidia kuwapa kumbukumbu ambayo haitoweza kutokea tena kwa wingi wa kura,hata wao wanakiri kuwa bila wewe maisha yao yote wasingefikisha hata nusu ya kura za 2015,
Kwa kuwa uliwaahidi kuwashukuru na umeondoka ghafla ni vyema ukawapa nafasi ya kukushukuru.
Kwa hakika hawana mgombea mwingine atakae weza kugusa idadi ile,
Kwa muonekano na matatizo waliyonayo na upungufu wa mgombea ni dhahiri yao ni kura 2.5!

In God we trust
 
Wacha UZWAZWA! Kama ni kweli kwanini muhofie uchaguzi huru na wa haki utakaosimamiwa na Tume HURU ya uchaguzi badala ya hii tume FAKE ya dikteta wa magogoni?



Mzee Lowassa ni vyema ukazunguuka nchi nzima makamanda wakushukuru kwa kuwasaidia kuwapa kumbukumbu ambayo haitoweza kutokea tena kwa wingi wa kura,hata wao wanakiri kuwa bila wewe maisha yao yote wasingefikisha hata nusu ya kura za 2015,
Kwa kuwa uliwaahidi kuwashukuru na umeondoka ghafla ni vyema ukawapa nafasi ya kukushukuru.
Kwa hakika hawana mgombea mwingine atakae weza kugusa idadi ile,
Kwa muonekano na matatizo waliyonayo na upungufu wa mgombea ni dhahiri yao ni kura 2.5!
 
Tulikusanyika Mbezi ya Kimara kuanzia saa sita za mchana, saa kumi tukaambiwa Mzee Lowassa muda si mrefu atawasili hapo uwanjani akitokea Kawe, kulikuwa na umati wa watu sijawahi kuona. Mabasi ya mikoani hasa yale yaliyokuwa yakitoka Moshi, Arusha nk kuja Dar yalikuwa yakipita na abiria wote ndani ya mabasi wakitupungia mikono huku nwakionyesha alama ya vidole viwili.
Muda ukafika Mzee Lowass akawasili....nadhani hotuba yake ilikuwa fupi kuliko zote kuwahi kutokea dk 2 au 3 ila sio zaidi. Hata hivyo wana Mageuzi tulifurahi sana.

Nikipata nafasi nitahadithia nilivyotoka kwa mguu Luguluni kuja shule ya msingi Msakuzi kumpigia kura Lowassa na Ukawa.
Sitarudia tena kushabikia Upinzani Njaa Kama Huu wa Tanzania.....
View attachment 1041982
Ulitembea kwa mguu kwa kuwa hukuwa na nauli

In God we trust
 
Back
Top Bottom