Mzee lowassa timiza ile ahadi yako ya kwenda kuwashukuru na pia wakushukuru,maana zile kura mil 6 hawatozipata tena maisha!

Unajuta jinsi gani ulivyopiga deki barabara ya tope na kumpandisha mzee jukwaani!
Sipati picha ulivyo kuwa unamtukana lowasa wewe na msukuma leo hii au jana ulikuwa unajisikiaje

In God we trust
 
Nikweli kabisa maana kina waitara na kina kafurila na wengine wote walio nunuliwa wakaja na kupewa madaraka na kuwaacha nyinyi mkipiga mihayo hamuwaoni

In God we trust
Sio ndani ya chama,unajuta ulivyokuwa ukizungusha kiuono na mikono usikasirike wacha aje akushukuru!
 
Huyo kachanganyikiwa baada ya kumtukana sana lowasa yeye na msukuma sasa jana kimemshuka hapa Arusha
Acha UZUSHI WEWE! Mie na huyu fisadi lowassa wapi na wapi! Nilimpinga kabla hajakimbilia chadema na hata baada ya kukimbilia chadema. Mie si bendera fuata upepo.

In God we trust
 
Reactions: BAK
Sio ndani ya chama,unajuta ulivyokuwa ukizungusha kiuono na mikono usikasirike wacha aje akushukuru!
Nilikuona jana ulivyokuwa unajichekesha kinafiki kudadadeeki

In God we trust
 
Reactions: BAK
Sipati picha ulivyo kuwa unamtukana lowasa wewe na msukuma leo hii au jana ulikuwa unajisikiaje

In God we trust
Uzuri sikuwahi piga deki lami wala kuzungusha mikono,jana nilikuwepo kwa shughuli maalumu!
 
Nilikuona jana ulivyokuwa unajichekesha kinafiki kudadadeeki

In God we trust
Mimi siyo kama msigwa au lema wewe,alipokwenda ikulu kamati kuu imuomba msamaha na wanachama wote mkalazimishwa kuomba msamaha!
 
Shughuli maalumu ya kubeba maji na kumsogezea uliyekuwa unamtukana?kweli Bashiru Ally kaamua kuitumia akili yake kuwatesa nyinyi waramba viatu
Uzuri sikuwahi piga deki lami wala kuzungusha mikono,jana nilikuwepo kwa shughuli maalumu!

In God we trust
 
Vipi jana ulienda na kitubio kuomba msamaha kwa oil chafu
Mimi siyo kama msigwa au lema wewe,alipokwenda ikulu kamati kuu imuomba msamaha na wanachama wote mkalazimishwa kuomba msamaha!

In God we trust
 
Shughuli maalumu ya kubeba maji na kumsogezea uliyekuwa unamtukana?kweli Bashiru Ally kaamua kuitumia akili yake kuwatesa nyinyi waramba viatu

In God we trust
kwa kweli unajuta jinsi mlivyopoteza muda kwa kudeki barabara na kulala kwenye vituo vya kura wengine mliwapiga ndugu zenu kisa tu hawamtaki kumuunga mkono Lowassa!
 
Vipi mitusi uliyoshiriki kumtusi lowasa utafanya kitubio?
kwa kweli unajuta jinsi mlivyopoteza muda kwa kudeki barabara na kulala kwenye vituo vya kura wengine mliwapiga ndugu zenu kisa tu hawamtaki kumuunga mkono Lowassa!

In God we trust
 
Vipi mitusi uliyoshiriki kumtusi lowasa utafanya kitubio?

In God we trust
vipi mbona unatoka machozi kwani ndio umeambiwa ile tender ya kumpigia kiwi kila wiki utakuwa umeikosa!
 
Nijibu kwanza jana ulimuomba msamaha lowasa kwa matusi uliyo mtukana?

In God we trust
Msamaha wa nini sikuwahi mtukana nilikuwa namwambia ukweli na nitaendelea msimamo wangu ni ule ule!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…