Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Baba yake alikua katili sana, nadhani akiwa DC serengeti alisababisha vurugu.Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.
Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?
Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?
Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Kaka kumbe USA??!!!Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.
Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?
Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?
Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
NashangaaLe mutuz kaingiaje hapa?...grow up...acha utoto.
ChuoElimu ya primary au secondary ndo alisoma USA?
Waliofanya kazi na babaye wanasema ni mbabe mnoHata Baba yake alifukuzwa uDC kwa ajili ya kutokuwa na maadili ya Kazi na roho mbaya,so huyu akili zake karithi kwa Baba yake na akachanganya na zile za Kayafa mwendakuzimu ndio imekuwa balaa zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo sio Ole Sabaya bali Edward Ole LengaBaba yake alikuwa na roho kama yake uliza wilaya ya serengeti aliyoyafanya kuchoma nyumba za wananchi moto
Sasa ona kumbe na secondary Ughaibuni, Bado mshenzi tuMarekani alisomeea nn maana km ni sekondary tulikuwa nae Uganda
Alifeli akaenda kusoma uganda advance, au uganda ni ughaibuni?!Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.
Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?
Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?
Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Nadhani aliwahi kusoma IKIZU SECONDARY pia.Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Na kwa anayemtafuta Bashite amuulize Lemutuz anajua alipo.Hata Le mutuz kasoma Marekani!
Degree 3Kwani kuna uongo sisi tunajivunia jamaa yetu lemutuz kusoma amerika
Au wewe ndio Le Mutuz ?Le mutuz kaingiaje hapa?...grow up...acha utoto.
Mwalimu wake alokuwa TRUMPKtk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.
Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?
Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?
Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Kumbee! Sasa nimeelewa kwanini alikuwa vile, alikuja akilini mwake akiwa na filamu za makauboi (cowboys) za kuvamia kupora na kuondoka akina Kitty Courson enzi hizo.Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.
Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?
Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?
Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Labda Marekani ya USA riverKtk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.
Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?
Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?
Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?