Uchaguzi 2020 Mzee Lukanga anaisambaratisha CCM Mwanza. Amekuwa kivutio cha kampeni, na msafisha njia kwa wagombea wa CHADEMA

Uchaguzi 2020 Mzee Lukanga anaisambaratisha CCM Mwanza. Amekuwa kivutio cha kampeni, na msafisha njia kwa wagombea wa CHADEMA

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
34,188
Reaction score
62,952
Mzee Lukanga anazungumza mambo magumu kwa njia na mifano rahisi kueleweka.

Anafafanua masuala mazito kwa namna ambayo msikilizaji hawezi kusahau.

Wakati mwingine kampeni za siasa hazihitaji watu maarufu wenye visomo vikubwa, bali watu wakaida kama Mzee Lukanga.





 
Jamaa yuko vizuri, ametoa ufafanuzi kwa lugha rahisi kwa mwananchi wa kawaida.

CHADEMA wana uwezo mkubwa wa kuibua watu wenye vipaji vya kujieleza kwa ufasaha.
 
Back
Top Bottom