😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂Mzee haki yako haipotei.tupo pamoja.wapigaji hawana nafasi
Umesahau kumalizia na "UBUNTU BOTHO"Mzee haki yako haipotei.tupo pamoja.wapigaji hawana nafasi
"Siwezi kuelewa mahakama inafanya kazi gani, kwa sababu mimi ndio mstahili wa kupewa hukumu. Hizi ni propaganda. Mimi bado Eng. Hersi ni kiongozi wangu pamoja na bodi yake. Lakini kama itatokea jambo lingine lolote kupitia kwangu, mimi mwenyewe nitaita vyombo vya habari nitaongea navyo. Lakini haya yaliyotokea jana [kushinda kesi dhidi ya uongozi Yanga] hazina ukweli.” – Juma Magoma, Mwanachama Yanga
Jamaa kakaa kishari mno.
Huyu mzee kasema huyo Magoma anachokitafuta hivi sasa ni kifo tuJamaa kakaa kishari mno.
Kwa hii video magoma ashatoboa. Afungue shitaka la kutishiwa uhai na adai fidia kubwa sana.Huyu mzee kasema huyo Magoma anachokitafuta hivi sasa ni kifo tu
View: https://youtu.be/7qX83Tu0y1w?si=raHK2JJMpAF7A3mE
yanga tunaomba mtuondolee vizee vyooote tubaki na professionals, miaka ya kutawaliwa na vizee kama akilimali na vingine ni ile ilishapita, akija mzee yeyote kujifanya kutishia watu au kana kwamba uchawi wao ndio huwa unafanya tushinde, ondoeni hao wazee, ajirini professionals aina ya engineer, si mnaona klabu ilivyopaa baada ya vichwa kuingia badala ya walialia njaa wanaojali matumbo yao waliokuwepo zamani. sasa wewe watut unaongea vitu vya maana anakuja mzee na kusema mwenzake anachotafuta ni kifo tu, kwani sisi tunapenda mwanayanga yeyote afe? hata angekuwa amekosea hatakiwi kufa, roho za vizee hivi vichawi tuzikatae.Huyu mzee kasema huyo Magoma anachokitafuta hivi sasa ni kifo tu
View: https://youtu.be/7qX83Tu0y1w?si=raHK2JJMpAF7A3mE