Mzee Magoma awaita viongozi wote wa Yanga Mazezeta. Itakuwa vibaya kufika mbele ya mahakama kuthibitisha kauli yake?

Mzee Magoma awaita viongozi wote wa Yanga Mazezeta. Itakuwa vibaya kufika mbele ya mahakama kuthibitisha kauli yake?

Vichekesho

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
66
Reaction score
3,277
Sikiliza dakika ya 10 sekunde ya 40 na kuendelea, Mzee Magoma anasema kuwa viongozi wote wa Yanga walio chini ya engineer Hersi Said ni Mazezeta.

Yaani kwakifupi anasema kuwa makamu wa rais wa Yanga ndugu Arafat Haji ni zezeta, Ally Kamwe ni zezeta, Simon Patrick ni zezeta nk.

Swali kwa ofisi ya mwanasheria wa Yanga: Je, hii kauli ya mzee Magoma ni yakweli? Itakuwa vibaya kumtaka afike mbele ya mahakama kuthibitisha kauli yake?

 
Nilishasema huyu jamaa yupo pale kimkakati. Anaonekana kama anampinga Hersi ila yupo ili mipango ya Hersi na wenzake iende sawa. Mbinu hii hii ndiyo imetumika katika siasa za nchi hii.

Inahitaji akili kubwa sana kulielewa hili.

Anyway, Mazezeta FC hamjambooo?
 
Huyu mzee inaonekana hakupata malezi kwenye kukua kwake! Ama alianza kuvuta bangi uzeeni
Sikiliza dakika ya 10 sekunde ya 40 na kuendelea, Mzee Magoma anasema kuwa viongozi wote wa Yanga walio chini ya engineer Hersi Said ni Mazezeta.

Yaani kwakifupi anasema kuwa makamu wa rais wa Yanga ndugu Arafat Haji ni zezeta, Ally Kamwe ni zezeta, Simon Patrick ni zezeta nk.

Swali kwa ofisi ya mwanasheria wa Yanga: Je, hii kauli ya mzee Magoma ni yakweli? Itakuwa vibaya kumtaka afike mbele ya mahakama kuthibitisha kauli yake?

 
Kauli ya Manara ya kuwaita Yanga hamnazo na hii ya Magoma havina tofauti .

Alichokifanya Magoma ni kupigilia tu msumali kwenye kauli ya Manara yaani wenye akili Yanga ni wawili tu ambao ni Mzee Sunday Manara na mzee Kikwete.
 
Back
Top Bottom