kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Magoma hawezi kulipia wakili bali kapewa wakili na wale jamaa zake kwa gharama zao. Aliyepeleka Yanga mahakamani ni Magoma, viongozi wa Yanga wanajibu mashitaka yake tu mahakamani. Kwahiyo akina Magoma walitaka Yanga wasiende mahakamani kujibu hoja zao?
View: https://www.instagram.com/reel/C_tJofrqtqe/?igsh=bnFwbG16ajFmdWc1
View: https://www.instagram.com/reel/C_tJofrqtqe/?igsh=bnFwbG16ajFmdWc1