Yaani imeshakuwa kero hawa watu wanaojiita celebrity, kila mara kulalamika kuwa wametelekezwa na jamii wakati kwenye show zao tunaingia kwa pesa, pia kazi zao tunanunuaHilo unalosema ni kweli chief, hicho kidogo wanacholipwa wanasahau kabisa kwamba kuna kesho.........
Acha povu ndugu.
Hiyo post yako umeiweka kijanja ujanja kwa nia ya kupiga wadau mzinga kisayansi ila greathinkaz machale yamewacheza wakaanza kukutupia za usoni wakilenga komwe, pua, na limdomo lako.
Kama hukuwa na nia ya kutupiga mzinga sikuona sababu ya bandiko lako kwani hospitali ziko nyingi hapa dar.
Kukaa na mgonjwa nyumbani ni dalili ya kukosa girisi.
Ni aibu kubwa kwenu ndugu na huyo mgonjwa wenu kwa umaarufu alionao kumbe hamna kitu kazi kununua mavazi na kujaza matumbo tu
Amesema mdau mmoja hapo juu kuwa wasanii wakibongo akili hamna, wanafikiria leo hawafikirii kesho. Wamewekeza muda na mapato kwenye starehe, ulevi, umalaya na kununua kila mtindo wa mavazi.
Poleni ila muda ni mwalimu.
PointAjaribu kumtafuta Yesu aponyaye. Madaktari wanatibu lakini uponyaji unatoka kwa Yesu
Jamani tatizo lake ni pesa au kitanda?nikiangalia issue ya wastara plus hii ya mzee baba king majuto naona bongo movie kuna tatizo, haiwezekani mtu awe kwenye game na aigize zaidi ya muvi 20 na bado akawa masikini! Mwakifamba kuna vitu haviko sawa anawafanyia wenzie
kuna hospitals nyingi kubwa kama tmj n.k so issue ya kitanda ni coverup tuuJamani tatizo lake ni pesa au kitanda?
Sasa ulitaka aseme kuwa apata kitanda wakati hajapata?Hapo naona huyu Masoud anajitafutia matatizo again......
Kwanini amesema kuhusu habari ya Mzee Majuto kukosa kitanda Muhimbili.... maana hawata chelewa kumuita mchochezi na pengine kushtakiwa kwa kosa la kusema mambo yanayo ihusu Siri Kali hii namba 5, ilhali yeye sio msemaji wake
Sasa wewe umehona kila mtu anapaswa kuchangiwa.Legend achangiwe pesa apate matibabu
Majuto mwenyewe kasema alikuwa anataka akalazwe VIP ward , lkn ikatokea kutokuelewa baina ya mlinzi na mkewe so ndio wakaambiwa na huyo mlinzi wanachokitaka hakipo. Kwa busara Majuto akaamua kurudi nyumbani. So ishu haipo kama wewe unavyodanganya kuwa ni pesa. Soma vizuri sio kila kitu kulaumu bila hata kufuatilia. Ndio maana unaambiwa kitu cha kuambiwa ongeza na akili zako. Mimi naona hukutaka kutumia uwezo wa akili yako kufikiri na kutafuta ukweri badala yake ushabiki na dharau vilikuongoza kuandika upumbavu na ujinga.Mkuu vp mbona unajilengesha.??
Au linakuhusu??
My point was
Legendary kama king majuto si mtu wa kukosa kitanda hospital then akarudi nyumbani.
Angekua na comprehensive bima sidhani kama angeenda kupanga foleni muhimbili..angeenda popote penye hospital nzuri.
Muongo anayeponya ni AllahAjaribu kumtafuta Yesu aponyaye. Madaktari wanatibu lakini uponyaji unatoka kwa Yesu
Juzi niliona kwenye taarifa ya habari (TBC) kijana mmoja toka iringa anataka auze figo yake ili aweze kutoa filamu yake...Sanaa ya bongo inatengeneza maskini wenye majina makubwa
Ni umaskini wa fikra hajui vizuri kuhusiana na Sanaa ya bongo hiyo akitoa ya kwanza asipouza filamu vizuri si atatoa nyingine tenaJuzi niliona kwenye taarifa ya habari (TBC) kijana mmoja toka iringa anataka auze figo yake ili aweze kutoa filamu yake...
Nikashangaa sana, maana kuna watu wametoa filamu zaidi ya 100 lakini wana hali mbaya, yy filamu moja anataka kuuza figo
Pesa yote anayoingiza kwenye matangazo na sinemaLegend achangiwe pesa apate matibabu