Mzee Makamba kuna pumzi ya mwisho. Zingatia maisha baada ya Dunia

Mzee Makamba kuna pumzi ya mwisho. Zingatia maisha baada ya Dunia

Mpigamimba

Senior Member
Joined
Nov 26, 2022
Posts
198
Reaction score
237
Is as if watu hawataondoka kwenye Ardhi hii.

Hili sio Kwa Makamba senior pekee. Viongozi wote mjue Kuna maisha baada ya haya. Wekeni maslahi zenu pembeni, ongea uhalisia. Ukweli na Kwa uaminifu.

Ni vigumu sana kupata heshima kw njia ya zomeazomea. Najua watu hawaielewi zomeazomea. Hili Lina muhusu kila kiongozi.
 
Is as if watu hawataondoka kwenye Ardhi hii.

Hili sio Kwa Makamba senior pekee. Viongozi wote mjue Kuna maisha baada ya haya. Wekeni maslahi zenu pembeni, ongea uhalisia. Ukweli na Kwa uaminifu.

Ni vigumu sana kupata heshima kw njia ya zomeazomea. Najua watu hawaielewi zomeazomea. Hili Lina muhusu kila kiongozi.
Busara zake siku zote ni kidogo sana.
 
Is as if watu hawataondoka kwenye Ardhi hii.

Hili sio Kwa Makamba senior pekee. Viongozi wote mjue Kuna maisha baada ya haya. Wekeni maslahi zenu pembeni, ongea uhalisia. Ukweli na Kwa uaminifu.

Ni vigumu sana kupata heshima kw njia ya zomeazomea. Najua watu hawaielewi zomeazomea. Hili Lina muhusu kila kiongozi.
Ndio anatuaga hivyo
giphy.gif
 
Is as if watu hawataondoka kwenye Ardhi hii.

Hili sio Kwa Makamba senior pekee. Viongozi wote mjue Kuna maisha baada ya haya. Wekeni maslahi zenu pembeni, ongea uhalisia. Ukweli na Kwa uaminifu.

Ni vigumu sana kupata heshima kw njia ya zomeazomea. Najua watu hawaielewi zomeazomea. Hili Lina muhusu kila kiongozi.
shida mnashindwa kuelewa alichomaanisha ni kwamba viongozi wazuri hawafi( maana yake mema au mazuri ya viongozi yataendelea kuwepo hata wakifa ) ni sawa na kusema wema hauozi
 
Is as if watu hawataondoka kwenye Ardhi hii.

Hili sio Kwa Makamba senior pekee. Viongozi wote mjue Kuna maisha baada ya haya. Wekeni maslahi zenu pembeni, ongea uhalisia. Ukweli na Kwa uaminifu.

Ni vigumu sana kupata heshima kw njia ya zomeazomea. Najua watu hawaielewi zomeazomea. Hili Lina muhusu kila kiongozi.
Tumuogope Mungu na teknolojia - Ruge Mutahaba
 
Back
Top Bottom