Aibu... tingatinga kuangusha na bajaji!!
naona mzee kajiunga na Makweta na Mungai kwenda likizo ya 'lazima',ndo si ha sa hiyo!
Ndicho alikuwa anangojea kwani mtu kama ulishakuwa PM,makamo mwenyekiti hutakiwi kuwa namahangaiko yakisiasa!hii ndiyo malipo yake!!Unadhani Salim Ahamed Salimu,Warioba hawataki kugombania katika majimbo??wanaogopa fedhea kutokana na status waliyokwishafikia kuporomoka ghafla.
Is it true, and only true that Mzee Tingatinga kashindwa? Mbona siamini?
Haya mageuzi ya ndani ya CCM yanaonesha ukomavu wa JK katika siasa.Hii ndiyo demokrasi ndani ya chama.pole Mzee Malecela.
Usichoamini ni nini? Kwani Malecela ni mara ya kwanza kushindwa kura za ubunge?