iyokichiku
Member
- Oct 30, 2023
- 36
- 70
[emoji2772]Huyu Mwenyekiti ajitathmini na afanye maamuzi ya kupumzika uongozi, kutoka na upepo unavyoelekea atapata wakati mgumu Sana.
Mangungu aachie ngazi kwani Hali ya timu siyo nzuri
Halafu Yeye n Try Again jukwaani wamekaa pamoja wanaangalianaMangungu anasura ya kichawi msxngs huyu