hayaland
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 712
- 399
Mzee wangu Membe ulisafiri kwenda Dubai falme za Kiarabu kwenye vikao vyako vya kila mwaka,jamii ya kitanzania ilikusubiri kwa hamu ili kuanza kampeini katika maeneo mbalimbali nchini.Umerudi salama mungu ni mwema hujaonekana kabisa kwenye kampeini zako.
Kibaya zaidi katibu wako alikamatwa pale uwanja wa ndege JKIN kwa kile kinachosemekana alikuwa amebeba fedha nyingi kitu ambacho jeshi la polisi wanadai ni mwendelezo wa vitendo vya utakatishaji haramu wa fedha na bado anafanyiwa uchunguzi.Japo wewe ulikanusha kuwa hakuwa na pesa yoyote.
Sasa uko wapi mzee wangu.Kampeni vipi.Ndo umekosa pesa kabisa ya kufanyia kampeni.Umemsikia katibu wa Ccm Dr Bashir Ally Kakulwa jembe la kihaya akisema mtu akitoka CCM na kuhamia kwingine anakuwa kichaa je umekuwa kichaa kama anavyodai?
Kibaya zaidi katibu wako alikamatwa pale uwanja wa ndege JKIN kwa kile kinachosemekana alikuwa amebeba fedha nyingi kitu ambacho jeshi la polisi wanadai ni mwendelezo wa vitendo vya utakatishaji haramu wa fedha na bado anafanyiwa uchunguzi.Japo wewe ulikanusha kuwa hakuwa na pesa yoyote.
Sasa uko wapi mzee wangu.Kampeni vipi.Ndo umekosa pesa kabisa ya kufanyia kampeni.Umemsikia katibu wa Ccm Dr Bashir Ally Kakulwa jembe la kihaya akisema mtu akitoka CCM na kuhamia kwingine anakuwa kichaa je umekuwa kichaa kama anavyodai?