Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,580
- Thread starter
-
- #141
Mzee anakisikia tu kisukari huyu....Weeee mkuu team mate chini!
Mwanaume akiwa na kisukari baaasi hawezi siamisha!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani nyie mbona mnazingua???? Huyu mzee amekosa nini hasa??? Si mke wake yulee mbona mnampangia mzee aishi vipii akati pesa anayoo...[emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wabongo bhnaa tafuteni helaa acheni kelele humuu...pambafuu kabisaa etii ooho anajiabisha kwani wanagongana hadharani???? shwain...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwako happiness ni kuonesha mzee kashika kiuno shanga cheni...mara anasema maneno yasiyosikia kisa uzee...anadhalilika bwanaaMengi pesa anayo wewe.. Hana haja ya kuonesha...!! They are living happy life na familia yao to the Fullest....
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi umeona ameshika shanga????Kwako happiness ni kuonesha mzee kashika kiuno shanga cheni...mara anasema maneno yasiyosikia kisa uzee...anadhalilika bwanaa
Sent using Jamii Forums mobile app
I love JF. Kahaba mtaafu anajifanya an Angel. Ila wamekutana maana na mzee kwa toto dogodogo za mjini alimaliza. Wako vijana wa mjini walineemeka kwa kukuwadia mzee mabinti wakali mjini. Pole mtalaka Mercy Anna kwa machungu ya mzee mliyetafuta wote mkaneemeka ila mwishowe akaona hufai. Maisha hayana umilele hata kama una hela kifo huwezi zuia. Iko siku na siku inakuja.Kinje na yeye alimfanya Kylin kama wifey kwa hiyo hakumuuza kwa wenzie, kinachonisikitisha Kylin alikua anasagana na Salama Jabir na hile kujiuza kwenye macasino kule JMAll samora alikua anachezesha pale casino , muda ukiisha kama una hela unaondoka nae ( Kahaba mstaafu)
Hii kali kabisa. Daaah kumbe aliachwa mataa? Ukweli ingekuwa ni ndugu yangu ningeenda tu nimshauri kuwa maisha yake yawe kwenye usiri tu maana anaweza kuamsha waliolala kwa sababu ona kwa mambo anayofanya kwa sasa mpaka hata mimi Zogwale nimejua nisichokuwa nimejua kuwa huyu mwanamke alikuwa ni kahaba wa casino na kuwa ni internationa prostitute. Aiseee mama wawili tulia kwa sababu sasa anachafuka mitandaoni.Yes, Kinje alikula sana huyu bibie na kilichowatenganisha ni tamaa za bibie, alipata mzungu akamdanganya anamuoa bibie akamtoroka Kinje akaenda south na mzungu kufika huko mzungu kapiga alivyotosheka akamtoroka hotelini, bibie akawa hana jinsi ikabidi arudi bongo na aibu zake, kurudi akaanza kulipitisha kwa Kinje tena Kinje akamkataa, ndio akaanza kudanga kwenye mahotel makubwa akamvua Mzee baba.
mengi alishea housegirl wake na mtoto wake muttie muone hivyo hivyo huyo hafai tabia mpaka dogo akahama home kwa hasiraMzee anaonyeshaudhaifu sana ,ameshindwa kumtoa kylin kwenye kundi lake la makahaba na mashangingi na kumtuliza ndan,she had a low profile of her own mzee anamsafisha kwa pamba safiya familia very bad,Ishu ya kumuoa huyu tuli dought kama ataweza kwenda na standard za hii familia lakini kwa msaada wa mengi analiangusha sana jina la hii familia yenye kuficha mambo yao ,mutie alikuwa malaya mbwa lakini alijuakuweka madhaifu binafsi mbali na familia kwanza roumors has it kinje kala sana huyu mama na walikuwa na tabia ya kupokezana usikute hata mutie kala hii sasa kuficha yote haya angejikalia kimya watu watamfukua hadi mzee apoteze hapitite
Hivi huyu mzee aliamua kummwaga Mercy?I love JF. Kahaba mtaafu anajifanya an Angel. Ila wamekutana maana na mzee kwa toto dogodogo za mjini alimaliza. Wako vijana wa mjini walineemeka kwa kukuwadia mzee mabinti wakali mjini. Pole mtalaka Mercy Anna kwa machungu ya mzee mliyetafuta wote mkaneemeka ila mwishowe akaona hufai. Maisha hayana umilele hata kama una hela kifo huwezi zuia. Iko siku na siku inakuja.
Aseee[emoji848]mengi alishea housegirl wake na mtoto wake muttie muone hivyo hivyo huyo hafai tabia mpaka dogo akahama home kwa hasira
Hahahahaha basi ni familia ya makahaba,maana mutie walimkoma mjinimengi alishea housegirl wake na mtoto wake muttie muone hivyo hivyo huyo hafai tabia mpaka dogo akahama home kwa hasira
huyu ni mgeni na matajiri ,kafara inamhusuHii kali kabisa. Daaah kumbe aliachwa mataa? Ukweli ingekuwa ni ndugu yangu ningeenda tu nimshauri kuwa maisha yake yawe kwenye usiri tu maana anaweza kuamsha waliolala kwa sababu ona kwa mambo anayofanya kwa sasa mpaka hata mimi Zogwale nimejua nisichokuwa nimejua kuwa huyu mwanamke alikuwa ni kahaba wa casino na kuwa ni internationa prostitute. Aiseee mama wawili tulia kwa sababu sasa anachafuka mitandaoni.
Ila ninawaambia kuna senema anatengeneza huyu. Time will tell.
Huyu mzee had all his life in privacy, out of camera and now his life is so much exposed. Ndugu zake na watoto kama mna akili ya ziada ni vyema waliangalie hili kwa jicho la pili.
Who cares?Kinje na yeye alimfanya Kylin kama wifey kwa hiyo hakumuuza kwa wenzie, kinachonisikitisha Kylin alikua anasagana na Salama Jabir na hile kujiuza kwenye macasino kule JMAll samora alikua anachezesha pale casino , muda ukiisha kama una hela unaondoka nae ( Kahaba mstaafu)
Yani watu wana Historia za watu aisee...[emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Makaburi kama yoteee
Stupidity Fanculo.You care ...That’s why you are here commenting nonsense
Huyu mama akili yake inamtuma kuwa mzee atavuta soon ili hata akianza kujiachia na mirathi apate huruma kuwa alimpenda sana mzee na alimtunza vyema acha ale matunda, hajui kwa Mungu hakuna namba anaweza kumpenda kabla ya mzee.Hii kali kabisa. Daaah kumbe aliachwa mataa? Ukweli ingekuwa ni ndugu yangu ningeenda tu nimshauri kuwa maisha yake yawe kwenye usiri tu maana anaweza kuamsha waliolala kwa sababu ona kwa mambo anayofanya kwa sasa mpaka hata mimi Zogwale nimejua nisichokuwa nimejua kuwa huyu mwanamke alikuwa ni kahaba wa casino na kuwa ni internationa prostitute. Aiseee mama wawili tulia kwa sababu sasa anachafuka mitandaoni.
Ila ninawaambia kuna senema anatengeneza huyu. Time will tell.
Huyu mzee had all his life in privacy, out of camera and now his life is so much exposed. Ndugu zake na watoto kama mna akili ya ziada ni vyema waliangalie hili kwa jicho la pili.
Huyu na yule rafiki yake Irene Kiwia wote wamedanga sana mpaka wamepata kivuli ndio wametulia, halafu watu ndio wanawaona wadada wapole wote wameingilia ndoa za watu kutaka status mjini, kikundi chao wote, Jacky, Irene, Nancy Sophia Byanaku, yaani Faraja Kota tu ndio alipata mume wake mwenyewe hakuvunja ndoaHuyu demu anajifanyaga mpole sana...yaan she's acting like saint asee
Sent using Jamii Forums mobile app