1.mkapa~anayewaita viongozi aliowateua na raia aliowaongoza kwa miaka 10 kuwa ni wapumbavu,malofa na mbumbumbu wakati yeye ndiye aliyewapa hayo yote.
2.makambajr~anayetumia sera na msemo wa wapinzani usemao "lowasa,mabadiliko" yeye akapaste "magufuli mabadiliko" na kuacha wa kwake wa "adinselemaaa"
3.magufuli~mwanasiasa anayekili hajui siasa,huku akifananisha mabadiliko ya tanzania na libya,pia akishangaa hospital hazina dawa kama alikuwa mbunge china kumbe wa chato tu hapo!
makongoro:aliyepewa ubunge na ccm pamoja na mnadi rais wa ccm wakati baba yake hakumuamini hata kumpa mbuzi wake akachunge!
nani mbumbumbu bora kati yao...