Sheikh Mohamed Said akitoa muhadhara kwa vijana wa kiislamu kufahanu historia ya taasisi za kiislamu Tanzania na michango ya taasisi hizi :
View: https://m.youtube.com/watch?v=IvodWTgWpSM
East African Muslim Welfare Society, migongano ya waislamu tanzania kwa kufuata asili ya mtu.
Mambo yakawa mazito 1968 muafaka miongoni mwa waislamu wa Tanzania ukashindwa kufikiwa.
Kina mama wa kiislamu watokwa macho kwa hali hii ya waislamu kuhitafiliana kwa kuangaliana asili, badala ya kuwa umma mmoja usio na chembe za kibaguzi .
Kuanzia hapo maendeleo na mipango ya waislamu ikavuzurugika, makundi ndani ya uislamu Tanzania yakaibuka
Wafadhili waliotaka kujenga Chuo Kikuu chini ya ufadhili wa Aga Khan wakatoweka kutokana na kutofautiana waislamu ndani ya Tanzania
Mzee Mohamed Said akaendelea na mudhara wake akawapa changamoto wanafunzi kama wanaelewa kwanini wanavaa hijabu, haikuwa kazi ndogo nitawaeleza ..
View: https://m.youtube.com/watch?v=IvodWTgWpSM
East African Muslim Welfare Society, migongano ya waislamu tanzania kwa kufuata asili ya mtu.
Mambo yakawa mazito 1968 muafaka miongoni mwa waislamu wa Tanzania ukashindwa kufikiwa.
Kina mama wa kiislamu watokwa macho kwa hali hii ya waislamu kuhitafiliana kwa kuangaliana asili, badala ya kuwa umma mmoja usio na chembe za kibaguzi .
Kuanzia hapo maendeleo na mipango ya waislamu ikavuzurugika, makundi ndani ya uislamu Tanzania yakaibuka
Wafadhili waliotaka kujenga Chuo Kikuu chini ya ufadhili wa Aga Khan wakatoweka kutokana na kutofautiana waislamu ndani ya Tanzania
Mzee Mohamed Said akaendelea na mudhara wake akawapa changamoto wanafunzi kama wanaelewa kwanini wanavaa hijabu, haikuwa kazi ndogo nitawaeleza ..