"Mzee Moi" anawakaribisha chakula ya kule kwetu IRINGA

Mkuu sasa unatafuta kesi,hawa jamaa huwa wanakataa kutumia hii kitu na wewe umewawekea na evidensi?
Haya bwana wakienda kujiua na hasira zao sijui utamjibu nini mheshimiwa hakimu?

lakini mbona nasikia kuwa ile mishikaki mitamu pale buguruni ni ya haka ka mnyama?!
 

Hii ni kwa wale wa samaki Nchanga hukooo kwa n-jomba. Hiki kibanda kinaweza kuwa Buguruni. Iringa wanamindi mbwa sio paka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…