Mzee Mwandiga adai kanuni ya asili inaipa ushindi goli zisizopungua 4 klabu ya Simba katika mechi yake na Yanga

Mzee Mwandiga adai kanuni ya asili inaipa ushindi goli zisizopungua 4 klabu ya Simba katika mechi yake na Yanga

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Nimekutana bila kutarajia na huyu Mzee aliyeshiba siku na uso uliojaa hekima hapa maeneo ya mwandiga tukipata chai mida ya saa tatu hivi asubuhi ya leo.

Namsikia Mzee huyu kwa masikio yangu akieleza Kanuni ya Asili inaonyesha Klabu ya simba itapata ushindi magoli yasiyopungua siyo 4 watakapokutana na watani wao mechi ijayo.

Kaongezea ni ngumu sana kuivunja Kanuni hiyo ya Asili na ikitokea hivyo basi madhara yake kwa binadamu kwa uzoefu huwa ni makubwa.

Kaondoka Mzee huyo bila kuaga baada ya kulipia chai aliyokunywa akituacha vinywa wazi.

Tulitamani tumuulize Kanuni ya Asili aloigusia ni ipi hasa na ina tofauti gani na ile ya kwenye fizikia tulofundishwa darasani.

Wenye hekima mtujuze.

Niwatakie mchana mwema.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nimekutana bila kutarajia na huyu Mzee aliyeshiba siku na uso uliojaa hekima hapa maeneo ya mwandiga tukipata chai mida ya saa tatu hivi asubuhi ya leo.

Namsikia Mzee huyu kwa masikio yangu akieleza Kanuni ya Asili inaonyesha Klabu ya simba itapata ushindi magoli yasiyopungua siyo 4 watakapokutana na watani wao mechi ijayo.

Kaongezea ni ngumu sana kuivunja Kanuni hiyo ya Asili na ikitokea hivyo basi madhara yake kwa binadamu kwa uzoefu huwa ni makubwa.

Kaondoka Mzee huyo bila kuaga baada ya kulipia chai aliyokunywa akituacha vinywa wazi.

Tulitamani tumuulize Kanuni ya Asili aloigusia ni ipi hasa na ina tofauti gani na ile ya kwenye fizikia tulofundishwa darasani.

Wenye hekima mtujuze.

Niwatakie mchana mwema.
Basi sawa, hadi sasa Simba anaongoza goli tatu.
 
Mimi ni Yanga ila uyu Raisi wetu yuko tayari kuvunja iyo kanuni
GKW-QiHXMAAtItI.jpeg
 
Kama mpira unachezwa mdomoni, basi mtashinda. Ila kama unachezwa uwanjani; basi mjiandae tu kisaikolojia. Maana kichapo chenu kiko pale pale hiyo siku ikifika.
 
Hapo mlikutana wote mmeshiba vitumbuwa vya mama Ntilie mkakosa story na kujikuta mnatoa nje kila wazo linalokuja kichwani
 
Nawatakia Simba ushindi. Mzee aache unafiki, Mambo ya kanuni sijui ya asili yangekuwa yanafanya kazi vyura wangekuwa mbali mno.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nimekutana bila kutarajia na huyu Mzee aliyeshiba siku na uso uliojaa hekima hapa maeneo ya mwandiga tukipata chai mida ya saa tatu hivi asubuhi ya leo.

Namsikia Mzee huyu kwa masikio yangu akieleza Kanuni ya Asili inaonyesha Klabu ya simba itapata ushindi magoli yasiyopungua siyo 4 watakapokutana na watani wao mechi ijayo.

Kaongezea ni ngumu sana kuivunja Kanuni hiyo ya Asili na ikitokea hivyo basi madhara yake kwa binadamu kwa uzoefu huwa ni makubwa.

Kaondoka Mzee huyo bila kuaga baada ya kulipia chai aliyokunywa akituacha vinywa wazi.

Tulitamani tumuulize Kanuni ya Asili aloigusia ni ipi hasa na ina tofauti gani na ile ya kwenye fizikia tulofundishwa darasani.

Wenye hekima mtujuze.

Niwatakie mchana mwema.
Story nyingi za MWANDIGA zinahusu uchawi.
Unaambiwa si wazee tu, hadi vijana ni wachawi sana.
Ndiyo maana wakapelekewa TAPELI ( Kamchape) anaye jinasibu kutoa na kuangamiza wachawi.

Siku si nyingi tutajua mbivu na mbichi.

SIMBA NGUVU MOJA....ila YOUNG AFRICAN WANAUPIGA MWINGI.
 
Back
Top Bottom