Mzee Mwinyi aliwahi kujiuzulu - Komredi Majaliwa ameelekeza upinde kwingine kabisa!

Mzee Mwinyi aliwahi kujiuzulu - Komredi Majaliwa ameelekeza upinde kwingine kabisa!

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,321
Reaction score
2,106
Akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani Enzi hizo Mzee ali Hassan Mwinyi aliwahi kujiuzulu ili apishe uchunguzi kutokana na askari kuua watu huko mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa tuhuma za ushirikina. Ila Mawaziri wa sasa - mwangalie Dk. Mwigulu - huwa hata tuhuma zikihusu Taasisi zao wao wanacheka cheka tu! Khaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!

Sasa Komredi Majaliwa nawe nimekushangaa sana - why uwaendee watendaji wa kule chini kabisa ukimwacha Waziri na Katibu Mkuu wake? Au ndiyo hayo yale maonjo ya Mwendazake bado yanawasumbua - yaani tu uonekana umetumbua ili ujenge CV yako tayari kwa 2025 au 2030? Unaujua ukweli?

Lakini Hazina ukijumlisha na sub-treasury ina wafanyakazi wengi sana (lets say wapo 600-800) - sasa hao wote wakilipwa allowance ya shilingi laki tano unafikiri itakuwa ni shilingi ngapi?

Nyie viongozi wa kisiasa mmezoea sana kuonea watendaji ambao hawateuliwi na ninyi! Acheni basi kuumiza hivyo - mnaumiza sana yaani - imekuwa ni vita ya wanasiasa na watendaji - why asilengwe Waziri? Au kwa sababu anabebwa na kura za wananchi? Why asiwe Katibu Mkuu?

Basi hawa watendaji ni wanyonge hawana pa kuchongea? Isitoshe wana issues nyingi sana (kutothibitishwa, malimbikizo ya salaries, kutopandiswa vyeo, kunyimwa safari, kutothaminiwa wakifiwa, kucheleweshewa pensheni, kufokewa n.k). Masimango imekuwa ni kwao tu hawa watu. Wabunge na Mawaziri mishahara miNONO na marupurupu kibao wakati kazi yao ni kugombeza nakusimamisha watumishi tu. Tubadilike!

Inatosha sana sana!
 
Akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani Enzi hizo Mzee ali Hassan Mwinyi aliwahi kujiuzulu ili apishe uchunguzi kutokana na askari kuua watu huko mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa tuhuma za ushirikina. Ila Mawaziri wa sasa - mwangalie Dk. Mwigulu - huwa hata tuhuma zikihusu Taasisi zao wanao wanacheka cheka tu! Khaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Sasa Komredi Majaliwa nawe nimekushangaa sana - why uwaendee watendaji wa kule chini kabisa ukimwacha Waziri na Katibu Mkuu wake? Au ndiyo hayo yale maonjo ya Mwendazake bado yanawasumbua - yaani tu uonekana umetumbua ili ujenge CV yako tayari kwa 2025 au 2030? Unaujua ukweli? lakini Hazina ukijumlisha na sub-treasury ina wafanyakazi wengi sana (lets say wapo 600-800) - sasa hao wote wakilipwa allowance ya shilingi laki tano unafikiri itakuwa ni shilingi ngapi? Nyie viongozi wa kisiasa mmezoea sana kuonea watendaji ambao hawateuliwi na ninyi! Acheni basi kuumiza hivyo - mnaumiza sana yaani - imekuwa ni vita ya wanasiasa na watendaji - why asilengwe Waziri? Au kwa sababu anabebwa na kura za wananchi? Why asiwe Katibu Mkuu? Basi hawa watendaji ni wanyonge hawana pa kuchongea? Isitoshe wana issues nyingi sana (kutothibitishwa, malimbikizo ya salaries, kutopandiswa vyeo, kunyimwa safari, kutothaminiwa wakifiwa, kucheleweshewa pensheni, kufokewa n.k). Inatosha sana sana!
Madokezo yote yanasainiwa na KM, how asichukuliwe hatua? Mwigulu lazima kwenye mgao yumo pamoja na KM japo kwenye paylist huwezi wakuta hata dak moja
 
Suala zima limewekwa kisiasa zaidi,kuna wanasiasa kupitia kadhia hii wanalenga 2025 / 2030.Ikiwa fedha zimechotwa Waziri na Katibu Mkuu walitakiwa kuwajibika mara moja mengine yote lono longo tupu.
 
Katibu Mkuu anatokea Kanda gani kweli ? Tulijia tu
Akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani Enzi hizo Mzee ali Hassan Mwinyi aliwahi kujiuzulu ili apishe uchunguzi kutokana na askari kuua watu huko mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa tuhuma za ushirikina. Ila Mawaziri wa sasa - mwangalie Dk. Mwigulu - huwa hata tuhuma zikihusu Taasisi zao wanao wanacheka cheka tu! Khaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!

Sasa Komredi Majaliwa nawe nimekushangaa sana - why uwaendee watendaji wa kule chini kabisa ukimwacha Waziri na Katibu Mkuu wake? Au ndiyo hayo yale maonjo ya Mwendazake bado yanawasumbua - yaani tu uonekana umetumbua ili ujenge CV yako tayari kwa 2025 au 2030? Unaujua ukweli?

lakini Hazina ukijumlisha na sub-treasury ina wafanyakazi wengi sana (lets say wapo 600-800) - sasa hao wote wakilipwa allowance ya shilingi laki tano unafikiri itakuwa ni shilingi ngapi?

Nyie viongozi wa kisiasa mmezoea sana kuonea watendaji ambao hawateuliwi na ninyi! Acheni basi kuumiza hivyo - mnaumiza sana yaani - imekuwa ni vita ya wanasiasa na watendaji - why asilengwe Waziri? Au kwa sababu anabebwa na kura za wananchi? Why asiwe Katibu Mkuu?

Basi hawa watendaji ni wanyonge hawana pa kuchongea? Isitoshe wana issues nyingi sana (kutothibitishwa, malimbikizo ya salaries, kutopandiswa vyeo, kunyimwa safari, kutothaminiwa wakifiwa, kucheleweshewa pensheni, kufokewa n.k).

Inatosha sana sana!
 
Suala zima limewekwa kisiasa zaidi,kuna wanasiasa kupitia kadhia hii wanalenga 2025 / 2030.Ikiwa fedha zimechotwa Waziri na Katibu Mkuu walitakiwa kuwajibika mara moja mengine yote lono longo tupu.
Kweli kabisa!
 
Hapa Waziri na KM wanajua kinachoendelea, hakuna pesa inaweza kulipwa bila KM kujua maana ndiyo accounting officer
Kwa sasa watendaji wa Serikali wa vyeo vile vya kati wanaangukiwa kila kona. Umeona Shinyanga pia. Ummy Mwalimu kawashukia wa chini kamwacha DED wkt angeweza tu kumsimamisha.
 
Akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani Enzi hizo Mzee ali Hassan Mwinyi aliwahi kujiuzulu ili apishe uchunguzi kutokana na askari kuua watu huko mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa tuhuma za ushirikina. Ila Mawaziri wa sasa - mwangalie Dk. Mwigulu - huwa hata tuhuma zikihusu Taasisi zao wanao wanacheka cheka tu! Khaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!

Sasa Komredi Majaliwa nawe nimekushangaa sana - why uwaendee watendaji wa kule chini kabisa ukimwacha Waziri na Katibu Mkuu wake? Au ndiyo hayo yale maonjo ya Mwendazake bado yanawasumbua - yaani tu uonekana umetumbua ili ujenge CV yako tayari kwa 2025 au 2030? Unaujua ukweli?

lakini Hazina ukijumlisha na sub-treasury ina wafanyakazi wengi sana (lets say wapo 600-800) - sasa hao wote wakilipwa allowance ya shilingi laki tano unafikiri itakuwa ni shilingi ngapi?

Nyie viongozi wa kisiasa mmezoea sana kuonea watendaji ambao hawateuliwi na ninyi! Acheni basi kuumiza hivyo - mnaumiza sana yaani - imekuwa ni vita ya wanasiasa na watendaji - why asilengwe Waziri? Au kwa sababu anabebwa na kura za wananchi? Why asiwe Katibu Mkuu?

Basi hawa watendaji ni wanyonge hawana pa kuchongea? Isitoshe wana issues nyingi sana (kutothibitishwa, malimbikizo ya salaries, kutopandiswa vyeo, kunyimwa safari, kutothaminiwa wakifiwa, kucheleweshewa pensheni, kufokewa n.k).

Inatosha sana sana!
Sina uhakika Kama waziri mkuu ana uwezo wa kumtimua waziri, anachoweza kufanya ni kutoa mapendekezo kwa mamlaka ya uteuzi (Rais), kwa hiyo ni Rais pekee anaweza kutengua uteuzi wa mawaziri.
 
Sina uhakika Kama waziri mkuu ana uwezo wa kumtimua waziri, anachoweza kufanya ni kutoa mapendekezo kwa mamlaka ya uteuzi (Rais), kwa hiyo ni Rais pekee anaweza kutengua uteuzi wa mawaziri.
Kaka Waziri Mkuu hata kuwasema tu Waziri na Katibu Mkuu hakufanya hivyo. Yaani kuwafokea wa chini imekuwa rahisi sana kwa regime ya awamu ya tano sasa wanataka kuhamishia na awamu hii ya sita. Viongozi wanaoshika nafasi za kisiasa wanajipendelea sana!
 
PM Majaliwa hana mamlaka ya kuwaondoa wala kuwaadhibu katibu mkuu wala Waziri, hayo ni mamlaka ya Rais, kwa sababu Rais SSH ni dhaifu, hakuna atakayeguswa huko juu.
 
Kaka Waziri Mkuu hata kuwasema tu Waziri na Katibu Mkuu hakufanya hivyo. Yaani kuwafokea wa chini imekuwa rahisi sana kwa regime ya awamu ya tano sasa wanataka kuhamishia na awamu hii ya sita. Viongozi wanaoshika nafasi za kisiasa wanajipendelea sana!
Kila kiongozi ana level zake za kuwajibisha watendaji, waziri yupo chini ya waziri mkuu kiutendaji, waziri mkuu anaweza kutoa maelekezo kwa waziri mbele ya hadhara, lakini linapokuja swala la kuwajibisha waziri mkuu hawezi kukurupuka kutoa maoni yake mbele ya hadhara kuhusu kasoro za utendaji wa waziri ambaye kimamlaka hawezi kutengua au kumsimamisha kazi, lakini anayo mamlaka ya kumuonya nyuma ya pazia au hata kutoa mapendekezo kwa Rais kuhusu utendaji kazi wake.

Rais anauwezo wa kumsema waziri mbele ya hadhara kwa sababu akizingua anauwezo wa kumtoa muda wowote.
 
Akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani Enzi hizo Mzee ali Hassan Mwinyi aliwahi kujiuzulu ili apishe uchunguzi kutokana na askari kuua watu huko mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa tuhuma za ushirikina. Ila Mawaziri wa sasa - mwangalie Dk. Mwigulu - huwa hata tuhuma zikihusu Taasisi zao wao wanacheka cheka tu! Khaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!

Sasa Komredi Majaliwa nawe nimekushangaa sana - why uwaendee watendaji wa kule chini kabisa ukimwacha Waziri na Katibu Mkuu wake? Au ndiyo hayo yale maonjo ya Mwendazake bado yanawasumbua - yaani tu uonekana umetumbua ili ujenge CV yako tayari kwa 2025 au 2030? Unaujua ukweli?

Lakini Hazina ukijumlisha na sub-treasury ina wafanyakazi wengi sana (lets say wapo 600-800) - sasa hao wote wakilipwa allowance ya shilingi laki tano unafikiri itakuwa ni shilingi ngapi?

Nyie viongozi wa kisiasa mmezoea sana kuonea watendaji ambao hawateuliwi na ninyi! Acheni basi kuumiza hivyo - mnaumiza sana yaani - imekuwa ni vita ya wanasiasa na watendaji - why asilengwe Waziri? Au kwa sababu anabebwa na kura za wananchi? Why asiwe Katibu Mkuu?

Basi hawa watendaji ni wanyonge hawana pa kuchongea? Isitoshe wana issues nyingi sana (kutothibitishwa, malimbikizo ya salaries, kutopandiswa vyeo, kunyimwa safari, kutothaminiwa wakifiwa, kucheleweshewa pensheni, kufokewa n.k). Masimango imekuwa ni kwao tu hawa watu. Wabunge na Mawaziri mishahara miNONO na marupurupu kibao wakati kazi yao ni kugombeza nakusimamisha watumishi tu. Tubadilike!

Inatosha sana sana!
Sijui umeandika nini. Anyway, nyumbu wenzako walioelewa watanifafanulia. Wasiponifafanulia maana yake nao hawajaelewa.
 
Madokezo yote yanasainiwa na KM, how asichukuliwe hatua? Mwigulu lazima kwenye mgao yumo pamoja na KM japo kwenye paylist huwezi wakuta hata dak moja
Ile voucher iyoandikwa majina
1.AGBD
2.DRTB
3.KPF
4.
5.
.
.
.
Ilikuwa posho ya mtu mzito wala haikuchukuliwa na mtumishi futa vumbi.
 
Back
Top Bottom