Mzee Mwinyi kinara wa ujenzi ovyo na holela, aliharibu Dar na Miji yetu

Mzee Mwinyi kinara wa ujenzi ovyo na holela, aliharibu Dar na Miji yetu

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Magheto na uharibifu wa mji wa Dar ulianzishwa na Rais wa awamu ya pili Ali Mwinyi.

Rais Mwinyi ndiye aliyeruhusu fukwe zetu kuvamiwa kwa kuruhusu hoteli kujengwa beach kinyume na sheria zetu za 50 meters ktk ufukweni, Rais Mwinyi aliruhusu white sands hotel kujengwa kinyume na sheria, aliruhusu sheraton hotel kujengwa kwenye eneo la wazi, aliruhusu Loliondo kugawiwa kwa foreigners.

Mwinyi alifungua pandora box la uharibifu wa mipango miji yetu, sasa hivi ni ngumu sana kurekebisha, I mean, unawezaje kuzuia hoteli kujengwa ufukweni wakati nyingine zimeshajengwa ?

Kabla ya Mwinyi kuwa Rais, Dar na miji mingine karibia yote nyumba zilikuwa na namba na mitaa iliyojulikana, nakumbuka ulikuwa ukichukuwa taxi unamwambia taxi driver nakwenda mtaa fulani nyuma namba fulani na alikufikisha, mpaka urais wa Mwinyi alipoharibu kila kitu sasa hivi ni mambo ya alama tu nishushe karibia sijui na shule au jengo fulani.
 
Sikufahamu kama Manzese, Tandale, Mburahati, Kigogo, Kinondoni Shamba, Msasani na vitongojj vingine ambavyo ni squatters na ni miji ya Kale ilianzishwa wakati wa Mwinyi.

Despite kwamba Dar es Salaam imejengwa Vibaya lakini hakukuwahi kuwa na Mpango wowote wa kuijenga kimpangilio Kwa Serikali zote sita ambazo zimeitawala Nchi hii.
 
Ni ngumu sana Mwinyi kuchafuka, ametutoa kwenye Kuvaa magunia na nguo za kaunguza.
Ilikua hatunywi chai sukari hakuna Chumvi inaitwa Dawa ya mboga
Kapokea Nchi toka kuzimu muache Mzee apumzike kwa amani.
 
Magheto na uharibifu wa mji wa Dar ulianzishwa na Rais wa awamu ya pili Ali Mwinyi.

Rais Mwinyi ndiye aliyeruhusu fukwe zetu kuvamiwa kwa kuruhusu hoteli kujengwa beach kinyume na sheria zetu za 50 meters ktk ufukweni, Rais Mwinyi aliruhusu white sands hotel kujengwa kinyume na sheria, aliruhusu sheraton hotel kujengwa kwenye eneo la wazi, aliruhusu Loliondo kugawiwa kwa foreigners.

Mwinyi alifungua pandora box la uharibifu wa mipango miji yetu, sasa hivi ni ngumu sana kurekebisha, I mean, unawezaje kuzuia hoteli kujengwa ufukweni wakati nyingine zimeshajengwa ?

Kabla ya Mwinyi kuwa Rais, Dar na miji mingine karibia yote nyumba zilikuwa na namba na mitaa iliyojulikana, nakumbuka ulikuwa ukichukuwa taxi unamwambia taxi driver nakwenda mtaa fulani nyuma namba fulani na alikufikisha, mpaka urais wa Mwinyi alipoharibu kila kitu sasa hivi ni mambo ya alama tu nishushe karibia sijui na shule au jengo fulani.
Huu Uzi utafutwa Nimeandika madudu mengi San utawala wa mwinyi umefanya ila zote zilifutwa zilibaki zile za kusifia tu na kumtukuza mzee mwinyi
 
1710161733764.png
 
Mwinyi alifungua pandora box la uharibifu wa mipango miji yetu, sasa hivi ni ngumu sana kurekebisha, I mean, unawezaje kuzuia hoteli kujengwa ufukweni wakati nyingine zimeshajengwa ?
Ninachojua kipindi chake ndio maeneo yote ya wazi yaliuzwa na viwanja vya michezo vya shule vikaporwa!
Nakumbuka hadi Mnazi mmoja ilikuwa imeuzwa kwa mtu aliyeitwa Bagdad wananchi wakavamia wakachukua uzio wote wa mabati na kuanza kulinda ndo wakaacha!
 
Back
Top Bottom