johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mkuranga au?Bora angebaki huko huko
DahBora angebaki huko huko
Pole mkuu
Zanzibar huku kaja kutuongezea gharama tupuMkuranga au?
Mkuu una stess?Bora angebaki huko huko
Za nini mkuu?Mkuu una stess?
😄😄Mkuu una stess?
Zozote zile?Za nini mkuu?
Sheria za Zanzibar zinaruhusu ukiishi miaka 5 mfululizo unaweza kuomba na kupewa kitambulisho cha mzanzibar mkazi na kuruhusiwa kugombea nafasi za uongozi.Nipo naendelea Kusoma Kitabu cha Maisha ya Rais niliyemkubali sana Mpendwa Wetu mzee Mwinyi Ruksa
Mwinyi alipelekwa Zanzibar kujifunza Dini ya Kiislamu na akiwa huko Mungu wa mbinguni akambariki na kumfanya kuwa Rais wa Tatu wa Nchi hiyo
Ikumbukwe kuwa hata Ukristo uliingia kupitia Zanzibar iwe Catholic au anglo-catholic
Hata Mchungaji Karl Peters wa KKKT aliingilia Zanzibar
Kumbe Zanzibar ni mlango wa Imani
Bado nasoma.
SawaZozote zile?
Nirushie basi kwenye PDF,me Niko nacho cha Reginald Mengi....Nipo naendelea Kusoma Kitabu cha Maisha ya Rais niliyemkubali sana Mpendwa Wetu mzee Mwinyi Ruksa
Mwinyi alipelekwa Zanzibar kujifunza Dini ya Kiislamu na akiwa huko Mungu wa mbinguni akambariki na kumfanya kuwa Rais wa Tatu wa Nchi hiyo
Ikumbukwe kuwa hata Ukristo uliingia kupitia Zanzibar iwe Catholic au anglo-catholic
Hata Mchungaji Karl Peters wa KKKT aliingilia Zanzibar
Kumbe Zanzibar ni mlango wa Imani
Bado nasoma.