Pure Scientific
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 716
- 643
Wanaboa sana hawajui mambo yanabadilika tu..Ila hawa watu wanazinguaga kinoma[emoji3][emoji3]utadhani kuna zawadi za dhahabu watapewa ...mi nawaona washamba tu!
Mtazamo tu!
Watakuja watakukuta.
Hawa kwangu ni wazee wa jf na wamepitwa na wakatii...
Kama haikuwa na mada jua mambo ubadilika kwani wewe zamani HUKO NYUMA ULIKUWA HIVYOJF zamani haikuwa na mada kama hizi [emoji56]
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
We ni muhenga kwa kweli umejoin kitambo sana😡mimi ni mzee namba moja, mzee mwenzangu ni Asprin. mnajua maana ya uzee ni dawa?
We ni muhenga kwa kweli umejoin kitambo sana😡
Ila ndo mpinguze MNAKERA...ndio nimewapa angalizo maana wengine mlikuwa hata kumiliki simu bado....
Kijana usibishie wazee. Siku hizi mnaleta ufacebook humu. Wazee wa Jambo forumsIla ndo mpinguze MNAKERA...