MZEE NI YUPI JF?

Hahaha halafu wewe ngooja

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app


hahaha unaumia kisa unaniamkiaga! ni haki yangu mkuu huna namna! alafu leo hujaniamkia! haya nasubiria....
 
hahaha unaumia kisa unaniamkiaga! ni haki yangu mkuu huna namna! alafu leo hujaniamkia! haya nasubiria....
Nitakuamkia chumbani we niamkie hapa[emoji3]

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Zamani JF ilikuwa ni kisima cha maarifa na chem chem ya elimu juu ya masuala mbali mbali ya kijamii...kutoka kwa wataalamu mbali mbali waliokuwa wamejitolea kushare nasi maarifa yao bila khiyana.......

Elimu na maarifa vilivyokuwa vinapatikana humu havina mfanowe....

Bila ya kusahau burudani mbali mbali...yaani ilikuwa niraha na hutamani kuikosa au kupitwa na mada yoyote ile....

Lakini siku hizi unakutana na mada mpaka unajiuliza huyu mtoa mada alikuwa katika hali gani kiakili wakati anaandika mada hii....!!

Kuna watu wameacha kabisa kutumia akili zao...hata yale mambo mepesi kabisa yanayohitaji fikra ndogo tu....yanaletwa huku...

Zamani ilikuwa jukwaa la siasa watu wanabishana kwa hoja...sio sasa hivi ni matusi.... tu...

R I P JF ....
 
na nyie wanafunzi mkiwa mpo likizo huwa mnaboa sana,msiwalaumu wazee peke yao.ona sasa ndo uzi gani huu
 
Siasa haina mashiko tena. Wanasiasa hawana ajenda. Vyama"vina price tag"
Mafisadi hawapo nchini.
Mapenzi hayapo. Biashara hazikui.
Technology kwishne.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…