Mzee Nyerere aliwahi kufanya hili jambo

Mzee Nyerere aliwahi kufanya hili jambo

ebaeban

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
2,205
Reaction score
2,697
Wakati majuzi Mh. Rais JK akijimung`unya mdomo na kujidai ana kikohozi hadi kunywa maji wakati akijitayarisha kumfuta uwaziri Mh. Prof. Anna Tibaijuka, Rais mwenzie Mzee Julius Nyerere alimfuta kazi mkuu wa mkoa wa Mwanza Mh. Abdulnoor Suleman akiwa na yeye meza kuu.Ilikuwa hivi wakati Nyerere akiwa kwenye ziara mkoani Mwanza wazee walilalamika kwamba mkuu wa mkoa huyo alikuwa anajishugurisha na magendo kwenye inchi jirani kwa kutumia boti zake kwenye ziwa victoiria.

Akifanya majumuisho ya ziara yake Nyerere alitamka kumfukuza kazi mkuu mkoa huo akiwa nae pale meza kuu, hii ilikuwa mwaka 1978.

Eti Kikwete alikuwa anamwonea haya Mh. Tibaijuka kumfuta kazi wakati wala hawakuwa nae meza kuu, je angekuwepo.
 
ebaeban lazima utambue kuwa yule mkuu wa mkoa tuhuma zake zilikwishapelekwa kwenye system na akawa anafuatiliwa na kwenye majumuisho wazee walichagiza tu lakini mtukufu rais wakati huo tayari alikuja na barua na dispatch ambayo mheshimiwa abdulnuru alisaini kabla hata hajakaa meza kuu. suala la profesa ni gumu na tata au tete kidogo kutokana na ukweli kuwa wanaomtuhumu wamepika tuhuma lakini kwa uwezo wa mola ukweli umebainika na kinachofanyika ni kujiridhisha kama kweli wapika tuhuma walishirikiana na akina nani na hapo ndipo sheria itachukua mkondo wake. sio kwa kumwajibisha profesa muhongo kwani hana chembe ya hatia bali kwa kuwasimamisha kizmbani wote waliohusika na mchezo huu mchafu pamoja na kinara wao. hiyo ndio itakuwa sapraizi ya kufungua mwaka 2015
Wakati majuzi Mh. Rais JK akijimung`unya mdomo na kujidai ana kikohozi hadi kunywa maji wakati akijitayarisha kumfuta uwaziri Mh. Prof. Anna Tibaijuka, Rais mwenzie Mzee Julius Nyerere alimfuta kazi mkuu wa mkoa wa Mwanza Mh. Abdulnoor Suleman akiwa na yeye meza kuu.Ilikuwa hivi wakati Nyerere akiwa kwenye ziara mkoani Mwanza wazee walilalamika kwamba mkuu wa mkoa huyo alikuwa anajishugurisha na magendo kwenye inchi jirani kwa kutumia boti zake kwenye ziwa victoiria.

Akifanya majumuisho ya ziara yake Nyerere alitamka kumfukuza kazi mkuu mkoa huo akiwa nae pale meza kuu, hii ilikuwa mwaka 1978.

Eti Kikwete alikuwa anamwonea haya Mh. Tibaijuka kumfuta kazi wakati wala hawakuwa nae meza kuu, je angekuwepo.
 
Back
Top Bottom