MC Chere
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 586
- 400
Apata followers 304,000 sasa akiwapiku wale waliokuwa wakimupiku ambapo JM KIKWETE alikuwa akioza na kwa sasa ana followers 303,000 akifuatiwa na ZITTO mwenye followers 300,000 ila kwa EAST AFRICA kingunge wao ni KENYATA Mwenye followers zaidi ya laki 9
Swali,hivi hawa watu itafika siku nao wataanza kulipwa kutokana na umaarufu wao kama wale wa Ulaya?
Swali,hivi hawa watu itafika siku nao wataanza kulipwa kutokana na umaarufu wao kama wale wa Ulaya?