TANZIA Mzee Samson Kibonde, baba yake Ephraim Kibonde afariki Dunia

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Hii imetokea jana asubuhi.

Mzee huyu amefariki baada ya pressure ya mawazo iliyotokana na kuhuzunika mke wake alipougua.

Interest yangu na Ephraim Kibonde ni kwamba yeye ndiye aliyesabsbisha mimi kujiunga na JF.

Ephraim Kibonde alikuwa anaongea katika kipindi cha Jahazi kwamba ukitaka internet gossip utazipata Michuzi Blogs.

Kwa hiyo nikaitazama Michuzi Blogs,na kwa vile nilikuwa natafuta blogs za Tanzania, pia nikaiona Jamii Forums.
Na sasa nipo hapa hii Christmas nacheki Internet gossip which nowadays seems to be my only entertainment.

Hizi habari zimetangazwa na Sarah Kibonde, mtoto wa kwanza wa Mzee Samson Kibonde na dada yake Ephraim.
 
RIP Mr. Kibonde.

It feels like yesterday we used to visit Four Flats...
 
Hata mimi hapa ni kijiweni pangu napiga piga blah blah......kuondoa stress halafu natukana kidooogo mashallah najisikia freeesh......halafu maisha yanaendelea........MY CONDOLENCE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…