Mzee Samuel Sitta kamwe asingesubiri miezi 6 kujadili Ripoti ya CAG iliyojaa ufisadi

Mzee Samuel Sitta kamwe asingesubiri miezi 6 kujadili Ripoti ya CAG iliyojaa ufisadi

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Tuihukumu Mbeya,

Mbeya ilitoa viongozi shupavu sana nchi hii na viongozi wenye kujiamini sana na wenye kusimamia misimamo yao kikamilifu, hapa tunamuona Prof. Mwandosya, Sugu, Mwakyembe na wengine wengi. Leo hii Mbeya kutuletea viongozi wa kitaifa aina ya Tulia ni aibu.

Na kamwe Mbeya inabidi mtengwe na nchi maana haiwezekani kuliko kuibana serikali, spika mliyetuletea ndio aanze kuitetea serikali, hii hata shetani anashangaa sana. Sasa kwa maamuzi hayo ni wazi Mbeya haifai kutuletea viongozi wa kitaifa.

Mzee Sitta kamwe asingekubali huo ujinga abadani, lazima angehakikisha anapambana ili mambo yajulikane na mawaziri wangejiuzulu tu kwa uzembe wao.

Wahehe wana msemo wanasema mchuzi wa mbwa hua mtamu ukiwa wa moto moto sasa huyu anaetaka tunywe mchuzi ukishapoa kamwe hatutakii mema na sio wakuunga mkono kabisa.
 
Inashangaza sana kusubiri muda mrefi miezi sita. Hata ari ya kujadili itashuka sana, itakuwa haina maana na ni kupoteza muda, inatoa mwanya wa kufunika kombe mambo yapite bila wahusika wa ubadhirifu wa fedha za umma kuwajibishwa
 
Inashangaza sana kusubiri muda mrefi miezi sita. Hata ari ya kujadili itashuka sana, itakuwa haina maana na ni kupoteza muda, inatoa mwanya wa kufunika kombe mambo yapite bila wahusika wa ubadhirifu wa fedha za umma kuwajibishwa
Maneno ya Prof Assad dhidi ya muhimili wa Bunge yametimia ukweli ni kwamba mabaraza ya madiwani yananguvu kuliko bunge lenyewe kwa namna hiyo hakuna uwezekano wa kuzuia ufisadi haipo.
 
Tuihukumu Mbeya,

Mbeya ilitoa viongozi shupavu sana nchi hii na viongozi wenye kujiamini sana na wenye kusimamia misimamo yao kikamilifu, hapa tunamuona Prof. Mwandosya, Sugu, Mwakyembe na wengine wengi. Leo hii Mbeya kutuletea viongozi wa kitaifa aina ya Tulia ni aibu.

Na kamwe Mbeya inabidi mtengwe na nchi maana haiwezekani kuliko kuibana serikali, spika mliyetuletea ndio aanze kuitetea serikali, hii hata shetani anashangaa sana. Sasa kwa maaamuzi hayo ni wazi mbeya haifai kutuletea viongozi wa kitaifa.

Mzee Sitta kamwe asingekubali huo ujinga abadani, lazima angehakikisha anapambana ili mambo yajulikane na mawaziri wangejiuzulu tu kwa uzembe wao.

Wahehe wana msemo wanasema mchuzi wa mbwa hua mtamu ukiwa wa moto moto sasa huyu anaetaka tunywe mchuzi ukishapoa kamwe hatutakii mema na sio wakuunga mkono kabisa.
Spika wa hovyo huyu.
 
Tuihukumu Mbeya,

Mbeya ilitoa viongozi shupavu sana nchi hii na viongozi wenye kujiamini sana na wenye kusimamia misimamo yao kikamilifu, hapa tunamuona Prof. Mwandosya, Sugu, Mwakyembe na wengine wengi. Leo hii Mbeya kutuletea viongozi wa kitaifa aina ya Tulia ni aibu.

Na kamwe Mbeya inabidi mtengwe na nchi maana haiwezekani kuliko kuibana serikali, spika mliyetuletea ndio aanze kuitetea serikali, hii hata shetani anashangaa sana. Sasa kwa maamuzi hayo ni wazi Mbeya haifai kutuletea viongozi wa kitaifa.

Mzee Sitta kamwe asingekubali huo ujinga abadani, lazima angehakikisha anapambana ili mambo yajulikane na mawaziri wangejiuzulu tu kwa uzembe wao.

Wahehe wana msemo wanasema mchuzi wa mbwa hua mtamu ukiwa wa moto moto sasa huyu anaetaka tunywe mchuzi ukishapoa kamwe hatutakii mema na sio wakuunga mkono kabisa.
Big Sam (Mzee wa viwango na kasi) akiwa mwanafunzi wa chuo kikuu akiwa Rais wa Wanafunzi, alim-challenge Rais JKN.
Akatimliwa chuo na baadae aliporejea akamalizia shahada yake na kuwa waziri kwenye serikali ya kiongozi alikuwa challenged na big Sam.

Kumlinganisha na wakuu wa wa majengo ni kuwaonea.
Mwaka 1975 Sam Sitta alikuwa Mbunge na waziri wa ujenzi. 2005 akiwa Spika alishakuwa na uzoefu wa zaidi ya miaka 30 akiwa waziri wa wizara mbalimbali na RC kwa nyakati tofauti.
Huwezi kumlinganisha na mtu asie na uzoefu kazini kwenye sr post. Mnamwonea anaekalia kiti, bado ana safari ndefu ya kujifunza kuwa na uzoefu na exposure kama ya Big Sam.
 
Tuihukumu Mbeya,

Mbeya ilitoa viongozi shupavu sana nchi hii na viongozi wenye kujiamini sana na wenye kusimamia misimamo yao kikamilifu, hapa tunamuona Prof. Mwandosya, Sugu, Mwakyembe na wengine wengi. Leo hii Mbeya kutuletea viongozi wa kitaifa aina ya Tulia ni aibu.

Na kamwe Mbeya inabidi mtengwe na nchi maana haiwezekani kuliko kuibana serikali, spika mliyetuletea ndio aanze kuitetea serikali, hii hata shetani anashangaa sana. Sasa kwa maamuzi hayo ni wazi Mbeya haifai kutuletea viongozi wa kitaifa.

Mzee Sitta kamwe asingekubali huo ujinga abadani, lazima angehakikisha anapambana ili mambo yajulikane na mawaziri wangejiuzulu tu kwa uzembe wao.

Wahehe wana msemo wanasema mchuzi wa mbwa hua mtamu ukiwa wa moto moto sasa huyu anaetaka tunywe mchuzi ukishapoa kamwe hatutakii mema na sio wakuunga mkono kabisa.
Bunge hili linalipwa mshahara wa bure kabisa. Tumepewa spika wa ajabu haijawahi kutokea.
 
Tuihukumu Mbeya,

Mbeya ilitoa viongozi shupavu sana nchi hii na viongozi wenye kujiamini sana na wenye kusimamia misimamo yao kikamilifu, hapa tunamuona Prof. Mwandosya, Sugu, Mwakyembe na wengine wengi. Leo hii Mbeya kutuletea viongozi wa kitaifa aina ya Tulia ni aibu.

Na kamwe Mbeya inabidi mtengwe na nchi maana haiwezekani kuliko kuibana serikali, spika mliyetuletea ndio aanze kuitetea serikali, hii hata shetani anashangaa sana. Sasa kwa maamuzi hayo ni wazi Mbeya haifai kutuletea viongozi wa kitaifa.

Mzee Sitta kamwe asingekubali huo ujinga abadani, lazima angehakikisha anapambana ili mambo yajulikane na mawaziri wangejiuzulu tu kwa uzembe wao.

Wahehe wana msemo wanasema mchuzi wa mbwa hua mtamu ukiwa wa moto moto sasa huyu anaetaka tunywe mchuzi ukishapoa kamwe hatutakii mema na sio wakuunga mkono kabisa.
Huyo Spika wa Sasa anafanya kwa matakwa ya kujipendekeza ,

Ndugai ana afadhali kuliko huyu , yaani hajui kwanini Yuko hapo

Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
 
Tuihukumu Mbeya,

Mbeya ilitoa viongozi shupavu sana nchi hii na viongozi wenye kujiamini sana na wenye kusimamia misimamo yao kikamilifu, hapa tunamuona Prof. Mwandosya, Sugu, Mwakyembe na wengine wengi. Leo hii Mbeya kutuletea viongozi wa kitaifa aina ya Tulia ni aibu.

Na kamwe Mbeya inabidi mtengwe na nchi maana haiwezekani kuliko kuibana serikali, spika mliyetuletea ndio aanze kuitetea serikali, hii hata shetani anashangaa sana. Sasa kwa maamuzi hayo ni wazi Mbeya haifai kutuletea viongozi wa kitaifa.

Mzee Sitta kamwe asingekubali huo ujinga abadani, lazima angehakikisha anapambana ili mambo yajulikane na mawaziri wangejiuzulu tu kwa uzembe wao.

Wahehe wana msemo wanasema mchuzi wa mbwa hua mtamu ukiwa wa moto moto sasa huyu anaetaka tunywe mchuzi ukishapoa kamwe hatutakii mema na sio wakuunga mkono kabisa.
Mkuu unaigaragaza legacy? Wee haya bana..!
 
Inashangaza sana kusubiri muda mrefi miezi sita. Hata ari ya kujadili itashuka sana, itakuwa haina maana na ni kupoteza muda, inatoa mwanya wa kufunika kombe mambo yapite bila wahusika wa ubadhirifu wa fedha za umma kuwajibishwa
Hasara ya Haki sawa.
 
Big Sam (Mzee wa viwango na kasi) akiwa mwanafunzi wa chuo kikuu akiwa Rais wa Wanafunzi, alim-challenge Rais JKN.
Akatimliwa chuo na baadae aliporejea akamalizia shahada yake na kuwa waziri kwenye serikali ya kiongozi alikuwa challenged na big Sam.

Kumlinganisha na wakuu wa wa majengo ni kuwaonea.
Mwaka 1975 Sam Sitta alikuwa Mbunge na waziri wa ujenzi. 2005 akiwa Spika alishakuwa na uzoefu wa zaidi ya miaka 30 akiwa waziri wa wizara mbalimbali na RC kwa nyakati tofauti.
Huwezi kumlinganisha na mtu asie na uzoefu kazini kwenye sr post. Mnamwonea anaekalia kiti, bado ana safari ndefu ya kujifunza kuwa na uzoefu na exposure kama ya Big Sam.
Spika aliyepatikana kwa Rushwa hatufai ndiyo maana nchi inaendeshwa kirushwa rushwa.
 
Back
Top Bottom