Mzee Somo wa Simba afariki Dunia, kuzikwa leo Mtwara

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Aliyekuwa msaidizi wa mtunza vifaa wa klabu ya Simba, Hassan Mtutanje maarufu kama Mzee Somo amefariki dunia juzi jumamosi usiku.

Marehemu atakumbukwa kama mmoja ya wafanyakazi wa Simba waliokuwa na mahaba mazito na klabu hiyo.

Mzee Somo atazikwa leo kwao mkoani Mtwara. Apumzike kwa amani.
 
Haya mambo hupaswi kufanya na hii ni mbaya sana na tambua kuwa huu ni msiba.

Kumbe kudumu koote bado huwezi kutenganisha msiba na dhihaka.
Wee siyo mtanzania nini?? hujui adi misibani utani upoo?? Na tena kwenye misiba utani ndiyo umetamalaki??? Wee wa wapii wewe??
 
Uyu nilimshuhudia simba iliyomfunga ac vital pale taifa na simba kwenda robo fainali

Siku hiyo mzee huyu na manula waliwanga sana kabla ya mashabiki kuungia
Hawa ndo manguri wa Simba kitambo, ambapo mtangazaji wa RTD sasa TBC Jese John alikuwa hachoki kumtaja.

Apumzike kwa amani Somo wa Simba SC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…