jijiletublog
Member
- Jul 23, 2020
- 31
- 74
Sumaye aache umalaya wa kisiasa.Waziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe Mkutelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.
Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.View attachment 1611622
huyo mzee yused tu amalize uzee vizuri Mbowe yuko na kampeni Hai chadema siyo wajinga kama hao wazee wa ccmWaziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe Mkutelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.
Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.View attachment 1611622
Uhalisia nikua kamati kuu haikuana mpango na Lisu wao walimtaka Nyarandu kwakua alisha jipanga katika swala la fedha za kampen. Walipo ona kuna shinikizo kutoka kwa wanachama wakaonaona isiwe tabu wamwachie Lisu msala alafu wao wa mute. Wanajua Lisu hawezi kutoboa na ndicho kinacho tokea
Sumaye usikute anayoyasema ni mawazo ya Nabii tito kada mtiifu wa CCMWaziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe Mkutelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.
Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.View attachment 1611622
Ilidhaniwa hivyo kwa jpm 2015 lkn akatoboa- JPMUhalisia nikua kamati kuu haikuana mpango na Lisu wao walimtaka Nyarandu kwakua alisha jipanga katika swala la fedha za kampen. Walipo ona kuna shinikizo kutoka kwa wanachama wakaonaona isiwe tabu wamwachie Lisu msala alafu wao wa mute. Wanajua Lisu hawezi kutoboa na ndicho kinacho tokea
Kha!kha!kha!,Mkuu umeua.Sumaye naye anaongea utumbo wa Mataga? Ameshajifungua kwn maana JPM aliwadunga pregs hawa wazee bila huruma
Kosa sio lake,shida kule alikoWaziri Mkuu wa hovyo kuwahi kutokea Tanzania.