Pre GE2025 Mzee Sumaye baada ya kustaafu Uwaziri mkuu aligombea Uenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani, hakunaga Uchaguzi mwepesi CHADEMA!

Pre GE2025 Mzee Sumaye baada ya kustaafu Uwaziri mkuu aligombea Uenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani, hakunaga Uchaguzi mwepesi CHADEMA!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Tunakumbushana ukubwa tu wa hiki Chama kikuu Cha Upinzani Chadema

Ndani ya CCM ukistaafu Uwaziri mkuu unaweza kugombea uRais wa JMT au Umakamu Mwenyekiti wa Chama

Ila Chadema Kanda ni kipimo Cha kupevuka kwa kiongozi

Niishie hapo 🐼

Nawatakia Sabato Njema πŸ˜„πŸ˜„
 
Tunakumbushana ukubwa tu wa hiki Chama kikuu Cha Upinzani Chadema

Ndani ya CCM ukistaafu Uwaziri mkuu unaweza kugombea uRais wa JMT au Umakamu Mwenyekiti wa Chama

Ila Chadema Kanda ni kipimo Cha kupevuka kwa kiongozi

Niishie hapo 🐼

Nawatakia Sabato Njema πŸ˜„πŸ˜„
Nadhani uko tuendako uje uolewe na chedema, maana inakuhangaisha sana rafiki John πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Nadhani uko tuendako uje uolewe na chedema, maana inakuhangaisha sana rafiki John πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Dr Nchimbi hanaga sentence nyingi yeye ni vitendo tu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Correct, lakini hana deep reasoning! Ila nilimsifu alipoonesha msimamo kwa Lowasa. I recommend him. sasa linapokuja kuhudumia serikali ya shetani, mashaka yangu yanaanzia hapo
Wewe si unaona Serikali inazidi kuimarika πŸ˜„
 
Tunakumbushana ukubwa tu wa hiki Chama kikuu Cha Upinzani Chadema

Ndani ya CCM ukistaafu Uwaziri mkuu unaweza kugombea uRais wa JMT au Umakamu Mwenyekiti wa Chama

Ila Chadema Kanda ni kipimo Cha kupevuka kwa kiongozi

Niishie hapo 🐼

Nawatakia Sabato Njema πŸ˜„πŸ˜„
We hujawahi kuwa na akili, we ni km nyumbu tu
 
Alipotoka kugombea Uenyekiti wa TAIFA Yule Mmeru ndio ikawa mwisho wake ndani ya CDM. Akatoka analalamika kama Zitto Kabwe.
 
Back
Top Bottom