Mzee Upako: Biblia inaruhusu kuteka na kuua waliokula kiapo na hawashtakiki siyo wanaokosoa serikali

Mzee Upako: Biblia inaruhusu kuteka na kuua waliokula kiapo na hawashtakiki siyo wanaokosoa serikali

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Mzee wa Upako, Mchungaji Anthony Lusekelo amesema “Sijajua nani anafanya mambo ya kuteka watu, wengine wanahusishwa na Vyombo vya Dola. Kwa taarifa katika Biblia, Daudi alimshauri sana Selemanj kuwa watu wote wanaoathiri utulivu wa nchi uwe unaua. Wa kwanza kuuawa nikifa tu awe Yohab.”

Ameongeza kuwa “Kwa hiyo kuna watu ambao unaona hawashtakiki lakini wanaathiri usalama wa nchi, Biblia inaruhusu wale watu kuwateka na kuwaua. Na mataifa mengi duniani huko wana vitengo vya kuteka watu wajinga wanjinga, lakini nani unamteka?”

Amesema Vitengo vya Watu kutekwa hasa walengwa ni waliapishwa, wameshika Biblia wakaapa kuwa hawatatoa kiapo cha nchi, wamesaliti wanashughulikiwa. Aliapaa na ametusalitu tunamahughulikia, ipo kote duniani hata kwenye Biblia.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Viongozi wa CHADEMA na Watanzania wasio na Vyama wanaoendelea kutekwa na Vyombo vya Usalama vya Nchi yetu

 
Bahati mbaya au nzuri nchi yetu haiendeshwi kwa misingi ya Biblia.
 
Mzee wa Upako, Mchungaji Anthony Lusekelo amesema “Sijajua nani anafanya mambo ya kuteka watu, wengine wanahusishwa na Vyombo vya Dola. Kwa taarifa katika Biblia, Daudi alimshauri sana Selemanj kuwa watu wote wanaoathiri utulivu wa nchi uwe unaua. Wa kwanza kuuawa nikifa tu awe Yohab.”

Ameongeza kuwa “Kwa hiyo kuna watu ambao unaona hawashtakiki lakini wanaathiri usalama wa nchi, Biblia inaruhusu wale watu kuwateka na kuwaua. Na mataifa mengi duniani huko wana vitengo vya kuteka watu wajinga wanjinga, lakini nani unamteka?”

Amesema Vitengo vya Watu kutekwa hasa walengwa ni waliapishwa, wameshika Biblia wakaapa kuwa hawatatoa kiapo cha nchi, wamesaliti wanashughulikiwa. Aliapaa na ametusalitu tunamahughulikia, ipo kote duniani hata kwenye Biblia.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Viongozi wa CHADEMA na Watanzania wasio na Vyama wanaoendelea kutekwa na Vyombo vya Usalama vya Nchi yetu

Ameongea kweli tupu
 
Bahati mbaya au nzuri nchi yetu haiendeshwi kwa misingi ya Biblia.
Haiendeshwi ndio ila ndio siri ya uongozi wote duniani ...Kama unabisha china wasingefika pale , kuna watu wameuawa kibao hata tajiri Jack Ma analetewa noma mda fulani . Kosoa ila usivuke mikapa kama matusi na kejeli.

Kma kiongozi lazima uwafinye maana ikitokea vurugu wakifa watu wengi tambua ni utawala wako .
 
viongozi wenu wa dini huwa wanawaambia hizo dini ni ubatili lkn huwa hamuelewi!
 
Haiendeshwi ndio ila ndio siri ya uongozi wote duniani ...Kama unabisha china wasingefika pale , kuna watu wameuawa kibao hata tajiri Jack Ma analetewa noma mda fulani . Kosoa ila usivuke mikapa kama matusi na kejeli.

Kma kiongozi lazima uwafinye maana ikitokea vurugu wakifa watu wengi tambua ni utawala wako .
Kwamba wote tuwe wajinga kama nyie kutwa kusifia upumbavu badala ya kukosoa na kujenga? muibe mali za umma huku tumekaa kimya?
 
UJumbe wake ni mzuri, huyu ni makamu kiboko ya wachawi kwa sasa na pia ni naibu mtekaji mkuu! Sadaka tutume kwenye namba ipi
 
Kwamba wote tuwe wajinga kama nyie kutwa kusifia upumbavu badala ya kukosoa na kujenga? muibe mali za umma huku tumekaa kimya?
Kukosa ndio ushamba wenyewe sasa , kuna kukosoa ila chunga kucheza na watu .usipend kufauta mkumbo wa kisiasa utafinywa na hakuna kitu utafanya .
 
Kukosa ndio ushamba wenyewe sasa , kuna kukosoa ila chunga kucheza na watu .usipend kufauta mkumbo wa kisiasa utafinywa na hakuna kitu utafanya .
Kwamba nyie CCM mtaishi milele? acheni ujinga mnaiba mali za wanyonge tunaangalia
 
Back
Top Bottom