Mzee wa EAC Afariki dunia baada ya purukushani?

Mag3

Platinum Member
Joined
May 31, 2008
Posts
13,413
Reaction score
23,592
Nimepata habari ya kutatanisha kuwa moja wa wazeee waliolala barabarani amefariki baada ya purukushani na polisi. Naomba mwenye taarifa zaidi na za uhakika atuletee.
 
Nimepata habari ya kutatanisha kuwa moja wa wazeee waliolala barabarani amefariki baada ya purukushani na polisi. Naomba mwenye taarifa zaidi na za uhakika atuletee.

Alikuwa mgonjwa ama misuko suko na wazee wa dola? Kama ni kweli Mungu amrehemu mzee wetu na pole kwa wafiwa. Mzee amekufa kishujaa akidai haki yake
 
Alikuwa mgonjwa ama misuko suko na wazee wa dola? Kama ni kweli Mungu amrehemu mzee wetu na pole kwa wafiwa. Mzee amekufa kishujaa akidai haki yake

Inasikitisha kama ni kweli.Hivi tujiulize kama ni baba au babu yako ukasikia amekufa akifuatilia mafao yake kwenye moja ya misukosuko tungejisikiaje??Hii serikali hii wewe ngoja tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…