Jamaa m1 alimpa mimba binti wa kichaga, baba wa binti alimind sana akataka amfanyie kitu kibaya!ikabidi jamaa ampoze mzee kwa kumpa ahadi nono!
JAMAA:Mzee kweli mm ndo nimempa mimba mwanao na wala ctamuoa,lakini mzee wangu km atajifungua mtoto wa kiume nitakupa mil 500 na duka kubwa k/koo ila km atajifungua mtoto wa kike nitakupa mil 300 na shamba kubwa!je mzee ikatokea mimba kuharibika itakuwaje????????
MZEE:Aisee hakuna jinsi itabidi umpe mimba nyingine!!!!!!!!