calculator
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 279
- 137
Jamani kuna udaku nimeskia eti kuna babu wa miaka 70 amefumaniwa na mpangaji wake kule Sekei, Arusha. Naskia eti hii stori imetoka kwenye gazeti la RISASI la wiki iliyopita. Naombeni mwenye taarifa au hata link ya hiyo habari.
Ahsanteni
Jamani kuna udaku nimeskia eti kuna babu wa miaka 70 amefumaniwa na mpangaji wake kule Sekei, Arusha. Naskia eti hii stori imetoka kwenye gazeti la RISASI la wiki iliyopita. Naombeni mwenye taarifa au hata link ya hiyo habari.
Ahsanteni
dah vibabu noma, na huyo mwanamke anataka kutuambia nini? kwamba shughuli ya babu noma kuliko ya mume wake (kijana)? duh basi tena
ng'ombe hazeeki maini!
habari zaidi vipi
habari zaidi vipi