Mzee wa miaka 80 anataka kuniuzia kiwanja, sheria ya ardhi inasemaje?

Mzee wa miaka 80 anataka kuniuzia kiwanja, sheria ya ardhi inasemaje?

mchonga

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2006
Posts
1,233
Reaction score
248
Wadau wa sheria, nilikuwa nauliza, kuna Mzee mmoja 80 yrs Old alikuwa anataka kuniuzia viwanja vyake viwili vilivyopimwa kabisa! Nilikuwa napenda kujua anaweza kuniuzia bila ya kuhusisha watoto wake? Watoto ni watu wazima late 50’s. Haitaweza kuniletea matatizo huko mbele!! Issue ni Umri wake. Naogopa isionekane namrubuni.
Nawasilisha!!
 
Kama hati ya Kiwanja kina jina lake, cha muhimu mke wake wandoa. Awe mmoja wapo katika kuizinisha maauziano hayo ni muhimu sana. Pia hakikisha asijekuwa alishakugawa kama urithi kwa mtoto wake yeyote hivyo kwenye maelezo ya awali aweke sawa jambo hilo. Kumbuka kuonana na wakili ili aandae mkataba wa kisheria.
 
Wadau wa sheria, nilikuwa nauliza, kuna Mzee mmoja 80 yrs Old alikuwa anataka kuniuzia viwanja vyake viwili vilivyopimwa kabisa! Nilikuwa napenda kujua anaweza kuniuzia bila ya kuhusisha watoto wake? Watoto ni watu wazima late 50’s. Haitaweza kuniletea matatizo huko mbele!! Issue ni Umri wake. Naogopa isionekane namrubuni.
Nawasilisha!!
Nakumbuka mwalim wngu wa business law alinifundisha wasioruhusiwa ni unsound mind and Children(under 18)
 
Back
Top Bottom