KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 875
Mzee wa upako amefunguliwa jarada JMD/RB/11099/2014 kituo cha Polisi Mbezi .
Anatuhumiwa Kutishia kumuua kwa Risasi Kijana Robert mkaanga chips Usiku wa Kuamkia jana. Ambapo Mzee wa upako alifyatua risasi tatu hewani .
Source: Mlalamikaji ( Robert 0712 850098) na Polisi Mbezi
UP DATE:
MZEEE WA UPOKO AMETAKIWA AKAJISALIMISHE POLISI MWENYEWE.
Anatuhumiwa Kutishia kumuua kwa Risasi Kijana Robert mkaanga chips Usiku wa Kuamkia jana. Ambapo Mzee wa upako alifyatua risasi tatu hewani .
Source: Mlalamikaji ( Robert 0712 850098) na Polisi Mbezi
UP DATE:
MZEEE WA UPOKO AMETAKIWA AKAJISALIMISHE POLISI MWENYEWE.