Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Ila kitu kimoja tu kinafanya nimheshimu mzee wa upako ila sitakisema.Hahaha
Mabilioni yameshaingia anasema tusubirie sasa
Hapana mambo yetu hayo.Semaaa usiogope Semaaa
ahahahh huyu mzee bana. Ana declare mapema kabisa kuwa haishi mbinguniNdio huyu huyu
Sasa kasema tawararua msipoacha uzinzi
Ameacha Konyagi sasa hivi anaenda na singeli ya Kvant Gin.Ameshaacha konyagi?
Free Mason madizaini
Jamaa labda kaona anasahaulika! Kaamua kuja kwa kiki mpya ya kutumia migongo ya Diamond na Kiba,ningewashauri Diamond na Kiba wampotezee wala wasibishane nae,hapo watakua wamefanya jambo la maana sana.Africa kiboko watu wanaibiwa kwa mgongo wa dini halafu wamo tu
Halafu nisikie mtu anasema:- hivi tumerogwa na nani?
Ntamzaba kofi
Awamu hii kila mtu atabadili mbinu we acha tuJamaa labda kaona anasahaulika! Kaamua kuja kwa kiki mpya ya kutumia migongo ya Diamond na Kiba,ningewashauri Diamond na Kiba wampotezee wala wasibishane nae,hapo watakua wamefanya jambo la maana sana.