Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
Ila tusiwaseme vibaya masihi wa Bwana.Mzee wa upako anakuwa kama muuza bucha aliyetaka kumuibia mama kuku wa kilo moja na nusu amuuzie kwa bei ya kilo 2. Cc. Bujibuji
Akiwemo mwenyekiti wako mtukufu, kiongozi wa malaika aliyemuahidi kumwekea lami mpaka madhabahuni?Ndiyo ''mitume'' na ''wachungaji'' wetu wa kisasa. Ama kweli wajinga ndiyo waliwao. Unakuta tapeli kama huyu amefungisha tela wa manyumbu maelfu kadhaa na wanampelekea fedha kanisani!
Kila nikilala nikiota ndoto naota kabisa huyu muuza bucha ni GuDumeIla tusiwaseme vibaya masihi wa Bwana.
Mwanamama anaingia katika bucha , muda mfupi kabla ya kufungwa bucha na anamuuliza muuza nyama:
"Una kuku?
Muuza bucha anafungua friji yake na kumtoa kuku mmoja tu aliyebaki hakukua na kuku mwingine zaidi ya huyo kuku.
Akamuweka kwenye mzani kumpima ikaonekana huyo kuku ana kilo moja unusu.
Yule mama akauliza tena
"... je hauna kuku mkubwa zaidi ya huyu tafadhali...?
Ujanja wa kibiashara na tamaa ukamuingia muuza kuku,
Akajifanya kumchukua yule kuku kumrudisha kwenye friji , halafu akajifanya anamtoa kuku mwingine na kumuweka kwenye mzani na kwa ufundi na umahiri mkubwa wa kiujanja ujanja ,alipomuweka yule kuku kwenye mzani akaweka kidole chake kwenye mzani kiudanganyifu , mizani ikasoma kilo mbili
Yule mama akaagiza "nifungie wote wawili, yule uliyemrudisha na huyu wa sasa"
Ni hayo tu kwa sasa...
Kamtapeli nani? Yeyote aliye tapeliwa na BOB LUSE MZEE wa Upako aje kwangu nimsaidie kusimamia haki yake mpaka ipatikane.Ndiyo ''mitume'' na ''wachungaji'' wetu wa kisasa. Ama kweli wajinga ndiyo waliwao. Unakuta tapeli kama huyu amefungisha tela wa manyumbu maelfu kadhaa na wanampelekea fedha kanisani!
Hiyo lami ni kwa ajili ya watu wa kibangu sio waumini ws mzee wa upako wanaoitumia mara moja kwa wikiAkiwemo mwenyekiti wako aliyemuahidi kumwekea lami mpaka madhabahuni?
Kumbe manyumbu yako ya aina tofauti tofauti...
La mikumi haliwezi kuwa sawa na la Serengeti
GuDume noma, ila Kuna kauzu wa zamani anaitwa General Galadudu, ni nomaaaaaaaKila nikilala nikiota ndoto naota kabisa huyu muuza bucha ni GuDume
Labda anataka kufanya kolabo mzeeAmefikaje huko kuwazungumzia wasanii...!?
Tupeni hiyo interview hapa.
Kwahiyo mzee wa upako ni diwani wa Kibangu mpaka mtukufu bosi wa malaika akatoe ahadi ya kumwekea lami mbele ya madhabahu ya mlevi wa konyagi?Hiyo lami ni kwa ajili ya watu wa kibangu sio waumini ws mzee wa upako wanaoitumia mara moja kwa wiki
Umesahau kuwa hata mwenyekiti wa manyumbu ya kijani alienda kanisani kwake kumpelekea sadaka na ahadi ya lami.Ndiyo ''mitume'' na ''wachungaji'' wetu wa kisasa. Ama kweli wajinga ndiyo waliwao. Unakuta tapeli kama huyu amefungisha tela wa manyumbu maelfu kadhaa na wanampelekea fedha kanisani!