Mzee wa Upako: Nampenda Diamond kwa sababu ni mnyenyekevu, simpendi Alikiba ni kiburi

Mh. Tumefikia hatua ya kutishana tena? Huhitaji degree kujua hawa watu ni manabii na mitume fake! Ndipo utapeli wao ulipo. Wewe unafikiri utapeli ni nini?
 
Aulizwe Shehe Kipozeo kama haya maneno ya Mtume Nabii ni ya kweli!
 
mkuu mbona muuza bucha kuumbuka, kuku wa pili atamtoa wapi?
 
Ndiyo ''mitume'' na ''wachungaji'' wetu wa kisasa. Ama kweli wajinga ndiyo waliwao. Unakuta tapeli kama huyu amefungisha tela wa manyumbu maelfu kadhaa na wanampelekea fedha kanisani!
intro ukifika pale unaambiwa lazima uamini kumuomba mungu wa lusekelo,
 
huyu jamaa alishaanza kuuza ile gongo aliyosema atauza kama hawatakufa wale waandishi waliomexpose na ulevi + umalaya wake? ha ha ha huyu naye ni janga la kanisa
 
Mtumishi wa mungu anatamka kumchukia mtu kiasi hicho? Zwazwa sana hili jamaa
 
Kuna sehemu zingine na watu kama hawa huwa naona ni
"Talk show" tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…