Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,810
- 6,789
Sikio la kufa.Aly ajirekebishe haijalishi amesema nani,mda gani,wakati gani,mazingira gani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda anataka kufanya kolabo mzee
GG kiboko sijui kapotelea wapi?GuDume noma, ila Kuna kauzu wa zamani anaitwa General Galadudu, ni nomaaaaaaa
Mabwaku nasa.Ma bwaku
Nate nasa.Ma bwaku
Nimesema sana hili,hata hao wanaombeba wanalijua hili ila wanavumilia tu hawana namna,kwakuwa lengo lao ni kumshusha huyo mmoja.Ni kweli Ali ana kiburi sana sema wachache wanaweza kugundua tabia yake hiyo.
Ni kweli na sisi wakristo Biblia inasema kuwa Mungu huwapinga wenye kiburi.Nimesema sana hili,hata hao wanaombeba wanalijua hili ila wanavumilia tu hawana namna,kwakuwa lengo lao ni kumshusha huyo mmoja.
Ali ni kiburi,jeuri,anajiona ni boora,na kama yeye ndio angekuwa na mafanikio kama ya Diamond, Tanzania ingesimama kwa madharau yake.