Mzee wa Upako ni mkweli sana; ukweli unaoogopwa na viongozi wote wa dini ya Kikristo

Mzee wa Upako ni mkweli sana; ukweli unaoogopwa na viongozi wote wa dini ya Kikristo

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Nimekuwa nikimsikia huyu mchungaji Lusekelo maarufu kama mzee wa upako akieleza baadhi ya kweli zinazoongewa kwa mihemko na Wakristo wanafiki wanaokuwa mahakimu kuhukumu wengine wanaodhani ni wadhambi kwa jinsi wanavyolisoma na kulielewa neno.

Nakubaliana naye kuwa kunywa pombe sio dhambi lakini pombe haiwafai wafalme. Katika dunia hii ni eidha uchague kuwa mfalme au maskini. Maana imeandikwa mpe maskini pombe ili asahau shida zake.

Pili nakubaliana naye kuwa ukikuta mwanamke sio bikra,ujue umeoa mke wa mtu. Mke wa ujana wako ni yule uliyemkuta bikra.Ndoa ni tendo la ndoa na wala sio zile mbwembwe za kanisani.Hizo ni taratibu za watu binafsi waliozitunga kwa msaada wa ibilisi ili ziwe mtego kwa wana wa Mungu wahukumiwe dhamiri zao wasipofanya hivyo.

Ndoa ni makubaliano ya watu wawili kwa ridhaa ya wazazi ambao ndio wanatoa baraka. Mzazi asipokupa baraka hata uende kanisani hutopata hizo baraka. Na mwisho nakubaliana naye Sabato ya biblia ni siku ya Jumamosi. Kujipangia Sabato siku nyingine ni kukaidi tu na kujaribu kumfanya Mungu hajui alichokisema.

Soma kisa cha Sauli kwa nini alikataliwa na Mungu.Mungu alimwagiza akienda vitani aue kila kitu asichukue chochote.Yeye akachukua wanyama walionona ili aje amtolee sadaka Mungu.Mungu alikasirishwa na ubunifu huu wa kuvunja agizo lake kwa kubuni kitu cha kjaribu kumfurahisha.

Waliobuni jumapili waliibuni kwa ajili ya kujaribu kuifurahisha miungu yao huku wakiipamba kuwa ni siku ya ufufuko wa Kristo.Ukweli ni ubishi na ukaidi tu kumfanya Mungu hajui alichokiagiza.

Mwisho sisi sote ni wanafunzi na hatupaswi kuja na misimamo yetu ya kiimani tukiwahukumu wasioamini kama sisi. Tukubali kujifunza na kuupokea ukweli hata kama utakuumiza.
 
"Maana imeandikwa mpe masikini pombe asahau shida zake.."




Katika Lugha ya Biblia inaweza Kuta hapa walimaanisha Umasikini wa kiroho na sio Umasikini wa kimwili vile tunavyofikiri 🤔
 
Nimekuwa nikimsikia huyu mchungaji Lusekelo maarufu kama mzee wa upako akieleza baadhi ya kweli zinazoongewa kwa mihemko na wakristo wanafiki wanaokuwa mahakimu kuhukumu wengine wanaodhani ni wadhambi kwa jinsi wanavyolisoma na kulielewa neno.

Nakubaliana naye kuwa kunywa pombe sio dhambi lakini pombe haiwafai wafalme.
Katika dunia hii ni eidha uchague kuwa mfalme au maskini.Maana imeandikwa mpe maskini pombe ili asahau shida zake.

Pili nakubaliana naye kuwa ukikuta mwanamke sio bikra,ujue umeoa mke wa mtu.
Mke wa ujana wako ni yule uliyemkuta bikra.Ndoa ni tendo la ndoa na wala sio zile mbwembwe za kanisani.Hizo ni taratibu za watu binafsi waliozitunga kwa msaada wa ibilisi ili ziwe mtego kwa wana wa Mungu wahukumiwe dhamiri zao wasipofanya hivyo.
Ndoa ni makubaliano ya watu wawili kwa ridhaa ya wazazi ambao ndio wanatoa baraka.
Mzazi asipokupa baraka hata uende kanisani hutopata hizo baraka.

Na mwisho nakubaliana naye Sabato ya biblia ni siku ya jumamosi.
Kujipangia Sabato siku nyingine ni kukaidi tu na kujaribu kumfanya Mungu hajui alichokisema.

Soma kisa cha Sauli kwa nini alikataliwa na Mungu.Mungu alimwagiza akienda vitani aue kila kitu asichukue chochote.Yeye akachukua wanyama walionona ili aje amtolee sadaka Mungu.Mungu alikasirishwa na ubunifu huu wa kuvunja agizo lake kwa kubuni kitu cha kjaribu kumfurahisha.
Waliobuni jumapili waliibuni kwa ajili ya kujaribu kuifurahisha miungu yao huku wakiipamba kuwa ni siku ya ufufuko wa Kristo.Ukweli ni ubishi na ukaidi tu kumfanya Mungu hajui alichokiagiza.

Mwisho sisi sote ni wanafunzi na hatupaswi kuja na misimamo yetu ya kiimani tukiwahukumu wasioamini kama sisi.
Tukubali kujifunza na kuupokea ukweli hata kama utakuumiza.
Sisi tuliopitia shule kidogo huwezi kutushawishi juu ya siku ya kuabudu
Kwa kuwa kalenda tunayotuma Leo imefanyiwa marekebisho mengi
Hivyo hesabu za siku Toka kuumbwa kwa Dunia kuja mwanzo wa sabato mpaka Leo siyo consistence

Lakini Bwana Yesu kwa kujua kutakuwa na mkanganyiko wa tafsiri ya maandiko na ilikuepusha tafsiri potofu aliagiza hivi kwa kushauri

1). Msihukumiane kwa vyakula, vinywaji, na siku
2) mtu na aoe mke mmoja kwa kuwa itakuwa ngumu kumpangia idadi

Hakusema atahesabiwa dhambi atakaye kiuka hayo mmagizo

Lakini ukiangalia kwa jicho la rohoni ni kuwa ukikiuka ushauri wa bwana Yesu automatically unaelekea kutumbukia katika dhambi
 
Nimekuwa nikimsikia huyu mchungaji Lusekelo maarufu kama mzee wa upako akieleza baadhi ya kweli zinazoongewa kwa mihemko na wakristo wanafiki wanaokuwa mahakimu kuhukumu wengine wanaodhani ni wadhambi kwa jinsi wanavyolisoma na kulielewa neno.

Nakubaliana naye kuwa kunywa pombe sio dhambi lakini pombe haiwafai wafalme.
Katika dunia hii ni eidha uchague kuwa mfalme au maskini.Maana imeandikwa mpe maskini pombe ili asahau shida zake.

Pili nakubaliana naye kuwa ukikuta mwanamke sio bikra,ujue umeoa mke wa mtu.
Mke wa ujana wako ni yule uliyemkuta bikra.Ndoa ni tendo la ndoa na wala sio zile mbwembwe za kanisani.Hizo ni taratibu za watu binafsi waliozitunga kwa msaada wa ibilisi ili ziwe mtego kwa wana wa Mungu wahukumiwe dhamiri zao wasipofanya hivyo.
Ndoa ni makubaliano ya watu wawili kwa ridhaa ya wazazi ambao ndio wanatoa baraka.
Mzazi asipokupa baraka hata uende kanisani hutopata hizo baraka.

Na mwisho nakubaliana naye Sabato ya biblia ni siku ya jumamosi.
Kujipangia Sabato siku nyingine ni kukaidi tu na kujaribu kumfanya Mungu hajui alichokisema.

Soma kisa cha Sauli kwa nini alikataliwa na Mungu.Mungu alimwagiza akienda vitani aue kila kitu asichukue chochote.Yeye akachukua wanyama walionona ili aje amtolee sadaka Mungu.Mungu alikasirishwa na ubunifu huu wa kuvunja agizo lake kwa kubuni kitu cha kjaribu kumfurahisha.
Waliobuni jumapili waliibuni kwa ajili ya kujaribu kuifurahisha miungu yao huku wakiipamba kuwa ni siku ya ufufuko wa Kristo.Ukweli ni ubishi na ukaidi tu kumfanya Mungu hajui alichokiagiza.

Mwisho sisi sote ni wanafunzi na hatupaswi kuja na misimamo yetu ya kiimani tukiwahukumu wasioamini kama sisi.
Tukubali kujifunza na kuupokea ukweli hata kama utakuumiza.
Kumbe Mungu aliagiza mtu kuuwa, huku akiwa ametowa amri 10 mojawapo inasema usiuwe.

Vitabu hivi tuvisome kwa akili sana, kuna mtu nimemsikia anasema Biblia ni best selling novel.
 
Biashara yoyote ni mipango. Na moja ya mipango ni kuangalia wenzako wanafanya vipi kisha wewe kuamua unatoka vipi.
 
Nimekuwa nikimsikia huyu mchungaji Lusekelo maarufu kama mzee wa upako akieleza baadhi ya kweli zinazoongewa kwa mihemko na wakristo wanafiki wanaokuwa mahakimu kuhukumu wengine wanaodhani ni wadhambi kwa jinsi wanavyolisoma na kulielewa neno.

Nakubaliana naye kuwa kunywa pombe sio dhambi lakini pombe haiwafai wafalme.
Katika dunia hii ni eidha uchague kuwa mfalme au maskini.Maana imeandikwa mpe maskini pombe ili asahau shida zake.

Pili nakubaliana naye kuwa ukikuta mwanamke sio bikra,ujue umeoa mke wa mtu.
Mke wa ujana wako ni yule uliyemkuta bikra.Ndoa ni tendo la ndoa na wala sio zile mbwembwe za kanisani.Hizo ni taratibu za watu binafsi waliozitunga kwa msaada wa ibilisi ili ziwe mtego kwa wana wa Mungu wahukumiwe dhamiri zao wasipofanya hivyo.
Ndoa ni makubaliano ya watu wawili kwa ridhaa ya wazazi ambao ndio wanatoa baraka.
Mzazi asipokupa baraka hata uende kanisani hutopata hizo baraka.

Na mwisho nakubaliana naye Sabato ya biblia ni siku ya jumamosi.
Kujipangia Sabato siku nyingine ni kukaidi tu na kujaribu kumfanya Mungu hajui alichokisema.

Soma kisa cha Sauli kwa nini alikataliwa na Mungu.Mungu alimwagiza akienda vitani aue kila kitu asichukue chochote.Yeye akachukua wanyama walionona ili aje amtolee sadaka Mungu.Mungu alikasirishwa na ubunifu huu wa kuvunja agizo lake kwa kubuni kitu cha kjaribu kumfurahisha.
Waliobuni jumapili waliibuni kwa ajili ya kujaribu kuifurahisha miungu yao huku wakiipamba kuwa ni siku ya ufufuko wa Kristo.Ukweli ni ubishi na ukaidi tu kumfanya Mungu hajui alichokiagiza.

Mwisho sisi sote ni wanafunzi na hatupaswi kuja na misimamo yetu ya kiimani tukiwahukumu wasioamini kama sisi.
Tukubali kujifunza na kuupokea ukweli hata kama utakuumiza.
Mleviiiyuleeee achana naee
 
Kumbe Mungu aliagiza mtu kuuwa, huku akiwa ametowa amri 10 mojawapo inasema usiuwe.

Vitabu hivi tuvisome kwa akili sana, kuna mtu nimemsikia anasema Biblia ni best selling novel.
Mungu hayuko chini ya Amri 10 kwa hiyo yeye anaweza kuamuru chochote na hafungwi na chochote.
 
Ujinga ni mtaji mkubwa sana Kwa matapeli hapa duniani.
Hekima ya mwanadamu ni upumbavu mbele za Mungu.

Usizitegemee akili zako,zitakuletea kiburi na majivuno tu na kiburi kitawaangamiza waovu
 
Nimekuwa nikimsikia huyu mchungaji Lusekelo maarufu kama mzee wa upako akieleza baadhi ya kweli zinazoongewa kwa mihemko na wakristo wanafiki wanaokuwa mahakimu kuhukumu wengine wanaodhani ni wadhambi kwa jinsi wanavyolisoma na kulielewa neno.

Nakubaliana naye kuwa kunywa pombe sio dhambi lakini pombe haiwafai wafalme.
Katika dunia hii ni eidha uchague kuwa mfalme au maskini.Maana imeandikwa mpe maskini pombe ili asahau shida zake.

Pili nakubaliana naye kuwa ukikuta mwanamke sio bikra,ujue umeoa mke wa mtu.
Mke wa ujana wako ni yule uliyemkuta bikra.Ndoa ni tendo la ndoa na wala sio zile mbwembwe za kanisani.Hizo ni taratibu za watu binafsi waliozitunga kwa msaada wa ibilisi ili ziwe mtego kwa wana wa Mungu wahukumiwe dhamiri zao wasipofanya hivyo.
Ndoa ni makubaliano ya watu wawili kwa ridhaa ya wazazi ambao ndio wanatoa baraka.
Mzazi asipokupa baraka hata uende kanisani hutopata hizo baraka.

Na mwisho nakubaliana naye Sabato ya biblia ni siku ya jumamosi.
Kujipangia Sabato siku nyingine ni kukaidi tu na kujaribu kumfanya Mungu hajui alichokisema.

Soma kisa cha Sauli kwa nini alikataliwa na Mungu.Mungu alimwagiza akienda vitani aue kila kitu asichukue chochote.Yeye akachukua wanyama walionona ili aje amtolee sadaka Mungu.Mungu alikasirishwa na ubunifu huu wa kuvunja agizo lake kwa kubuni kitu cha kjaribu kumfurahisha.

Waliobuni jumapili waliibuni kwa ajili ya kujaribu kuifurahisha miungu yao huku wakiipamba kuwa ni siku ya ufufuko wa Kristo.Ukweli ni ubishi na ukaidi tu kumfanya Mungu hajui alichokiagiza.

Mwisho sisi sote ni wanafunzi na hatupaswi kuja na misimamo yetu ya kiimani tukiwahukumu wasioamini kama sisi.
Tukubali kujifunza na kuupokea ukweli hata kama utakuumiza.
Baraka ya wazazi ni nzuri katika kuridhia ndoa ya mtoto lakini chenye mamlaka ya mwisho kuhusu jambo lolote katika maisha ya mtu ni neno la Mungu.

Kama mtoto amefanya kila kitu sawa kulingana na neno la Mungu na bado wazazi wakaamua kukataa bila sababu ya msingi basi hapo ndoa itabarikiwa na Mungu bila kuhitaji ridhaa ya mzazi.

Tendo la ndoa nje ya ndoa ni uzinzi au uasherati hata kama mwanamke kwa tendo hilo ndo ametolewa bikra. Mtu akitubu dhambi zake na kumpokea Yesu anafanyika kiumbe kipya mbele za Mungu hata kama bikra ilishaondoka.

Dhambi inaweza kuondoka lakini matokeo ya dhambi yanaweza kubaki. Mke halali ni yule uliyemuoa kihalali pasipo kujali umekuta bikra au la.

Kuhusu Sabato inahitajika hoja za kutosha ili kuwekana sawa na wasabato ila kwa sasa niseme tu hakuna utofauti kusali jmosi au jpili. WAKOLOSAI 2:16, RUMI 14:5

Kuhusu pombe pia ni suala linalohitaji uchambuzi wa kina wa Biblia kuelewa tofauti ya maagano ya kibiblia, muktadha na lugha za maandiko yanayohusu vilevi/pombe.

Ila nikuhakikishie hakuna mtu anayemjua Mungu, mwenye kukaa na Roho Mtakatifu kwa kumsikia na kumtii, mwenye kutumainia hasa kukaa na Mungu milele baada ya maisha haya, atakayethubutu kunywa kileo kwa makusudi na si kwa matumizi ya kimatibabu.
 
Hajamzidi King wa buzaa
 

Attachments

  • Screenshot_20240713-123516_Gallery.jpg
    Screenshot_20240713-123516_Gallery.jpg
    456.9 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240713-123502_Gallery.jpg
    Screenshot_20240713-123502_Gallery.jpg
    332.6 KB · Views: 7
Nimekuwa nikimsikia huyu mchungaji Lusekelo maarufu kama mzee wa upako akieleza baadhi ya kweli zinazoongewa kwa mihemko na wakristo wanafiki wanaokuwa mahakimu kuhukumu wengine wanaodhani ni wadhambi kwa jinsi wanavyolisoma na kulielewa neno.

Nakubaliana naye kuwa kunywa pombe sio dhambi lakini pombe haiwafai wafalme.
Katika dunia hii ni eidha uchague kuwa mfalme au maskini.Maana imeandikwa mpe maskini pombe ili asahau shida zake.

Pili nakubaliana naye kuwa ukikuta mwanamke sio bikra,ujue umeoa mke wa mtu.
Mke wa ujana wako ni yule uliyemkuta bikra.Ndoa ni tendo la ndoa na wala sio zile mbwembwe za kanisani.Hizo ni taratibu za watu binafsi waliozitunga kwa msaada wa ibilisi ili ziwe mtego kwa wana wa Mungu wahukumiwe dhamiri zao wasipofanya hivyo.
Ndoa ni makubaliano ya watu wawili kwa ridhaa ya wazazi ambao ndio wanatoa baraka.
Mzazi asipokupa baraka hata uende kanisani hutopata hizo baraka.

Na mwisho nakubaliana naye Sabato ya biblia ni siku ya jumamosi.
Kujipangia Sabato siku nyingine ni kukaidi tu na kujaribu kumfanya Mungu hajui alichokisema.

Soma kisa cha Sauli kwa nini alikataliwa na Mungu.Mungu alimwagiza akienda vitani aue kila kitu asichukue chochote.Yeye akachukua wanyama walionona ili aje amtolee sadaka Mungu.Mungu alikasirishwa na ubunifu huu wa kuvunja agizo lake kwa kubuni kitu cha kjaribu kumfurahisha.

Waliobuni jumapili waliibuni kwa ajili ya kujaribu kuifurahisha miungu yao huku wakiipamba kuwa ni siku ya ufufuko wa Kristo.Ukweli ni ubishi na ukaidi tu kumfanya Mungu hajui alichokiagiza.

Mwisho sisi sote ni wanafunzi na hatupaswi kuja na misimamo yetu ya kiimani tukiwahukumu wasioamini kama sisi.
Tukubali kujifunza na kuupokea ukweli hata kama utakuumiza.
Nabii Tito na Mzeee wa upako pamoja na wewe wote mnaiva chungu kimoja,mnajaribu kuyapindisha maandiko ili kikidhi haha zenu(haswa kiu ya pombe) ,ila mkae mkijua hamtaweza kuupindisha ukweli wa uliopo kwenye Biblia hata kama kuna watu wanatoa comment za kuwafariji hiyo haitoshi kuibadili kweli iliyopo ndani ya Biblia,wapotoshaji wakubwa ninyi.
 
Back
Top Bottom