Decree Holder
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,559
- 3,745
Teh Teh...both ni assist basi.........Kwa kweli hata mie urafiki wa fedha siutaki
Sio ubahili
Hakika ukitaka kugombana na watu kubali kukopesha kopesha.....haya mambo ya mikopo ni vyema wakaachiwa mabenki....Sio ubahili
Kukopesha ndio mwanzo wa uadui na kukimbiana mjini
mkuuu ela sijui ina nn, yan hata ww ukikopa , ukija kupata ,kurudisha unaona tabu flani hivi wakati ulikopa kweli.nlimkopesha shemeji yangu 300,000 akaahidi kunilipa ndani ya mwezi, nnavyoandika hapa nina miezi 8 sijalipwa hata mia na simu zangu hapokei na sms zangu hajibu.......sikukoma rafiki yangu (mwanafunzi cbe) mwezi wa 5 kanililia shida anarudia mwaka nimkopeshe aongezee ada 200,000 afanye UE nikaingiwa huruma nikamkopesha kwa makubaliano atanilipa tena na maandishi juu, sahivi amegeuka adui yangu.
my take.......kamwe usimkopeshe mtu hela hata akija analia na kusaga meno, kama anakufa, kufa na afe. binafsi sitokuja kukopesha tena maishani bora niwape ndugu zangu au wahitaji na maskini zaidi yangu naweza kupata baraka.
kwakweli mangi alipata taabuMangi mmoja alikuwa anatoa sadaka kanisani. Basi akaingiza mkono mfukoni, akatoa noti ya shilingi Elfu moja akaikunjakunja akaitumbukiza kwenye kapu la sadaka. Mara ileile, kuna mzee huko nyuma akamshika bega, alivyogeuka akampa burungutu la msimbazi msimbazi, Mangi akapokea kisha akaweka kwenye kapu la sadaka. Moyoni Mangi akawa anawaza, huyu Mzee ni mcha Mungu kweli kweli, yaani wekundu wekundu wote wale katoa sadaka.
Misa ilipoisha Mangi akamfuata yule Mzee, kamwambia, "ubarikiwe sana babangu eh, leo umetoa sadaka yakutosha eh". Yule Mzee akasema, "ile sio sadaka, ni pesa zako nimekurudishia. Ulipoingiza mfukoni kutoa ile buku, lile burungutu likaanguka chini".
Mangi akili ikamruka, akamfuata Padre muda ule ule, akamwabia, "samahani sana Msee, naomba unirudishie hela yangu. Kwa kweli niliitoa kimakosa". Padre akamwambia ile pesa haiwezi kurudi kwasababu tumeshamkabidhi Mungu. Mangi akapoteza fahamu.
Ikabidi Mangi abebwe kwa Ambulance apelekwe hospitali, alipozinduka akamuona mwanamke amevaa nguo nyeupe. Mangi akasema, " Malaika afadhari tumekutana, mwambie Mungu anirudishie pesa zangu tafadhari, mimi nilizitoa sadaka kimakosa tu". Yule dada akasema, "mimi sio Malaika, mimi ni Muuguzi na hapa sio kwa Mungu, ni hospitali".
Mangi akapoteza tena fahamu.
Pole
Kuna siku zingine funza kichwani mwako huenda machungani.... Nakupa like hapaHakika ukitaka kugombana na watu kubali kukopesha kopesha.....haya mambo ya mikopo ni vyema wakaachiwa mabenki....
Unachosema ni sahihi kabisa, rafiki yangu alianza na sababu ambazo hazina mwisho, mwisho kbs akastop kujibu text na call zangu kiufupi ameua urafiki wetunlimkopesha shemeji yangu 300,000 akaahidi kunilipa ndani ya mwezi, nnavyoandika hapa nina miezi 8 sijalipwa hata mia na simu zangu hapokei na sms zangu hajibu.......sikukoma rafiki yangu (mwanafunzi cbe) mwezi wa 5 kanililia shida anarudia mwaka nimkopeshe aongezee ada 200,000 afanye UE nikaingiwa huruma nikamkopesha kwa makubaliano atanilipa tena na maandishi juu, sahivi amegeuka adui yangu.
my take.......kamwe usimkopeshe mtu hela hata akija analia na kusaga meno, kama anakufa, kufa na afe. binafsi sitokuja kukopesha tena maishani bora niwape ndugu zangu au wahitaji na maskini zaidi yangu naweza kupata baraka.