Ukiijua formula ya Maisha hupati tabu kabisa.
Kamwe Usikopeshe. Ila, ili usionekane Una roho mbaya fanya hivi;
Mtu akija anashida akakuomba umkopeshe mfano elfu 50. We mwambie upo vibaya una elfu 20 tu. Mpe hiyo kama kumkopesha lakini moyoni uchukulie umempa tu. Ili usiiweke akilini na kwenye mipango yako.
Kama asipokulipa haitokuumiza na mtu huyo hawezi kuja kukukopa tena.
Hapo utakuwa unapunguza watu wa kuja kukukopa.
Note:
Huwezi kuishi kwenye Dunia hii bila kutoa msaada kwa wengine. Huwezi ona baraka, pia siku ukipata shida wewe hutapata msaada maana nawe hutoi.
sent by Samson Cyper