Mzee wa Upako yuko sahihi, ukiishi Dar es Salaam ukafa masikini wewe ni mjinga

Mzee wa Upako yuko sahihi, ukiishi Dar es Salaam ukafa masikini wewe ni mjinga

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Wote mnaoishi Dar es salaam huku mnalia maisha magumu ni mafala,aliwahi kusema Anton Lusekelo mzse wa upako

Ukipita barabarani ni foleni za magari lakini wewe huna hata pikipiki we ni

Majumba yote jiji zima lakini huna hata kiwanja wewe ni
......

Jiji lina watu milioni sita,ukibuni product yako inayoweza kuwafikia watu 1000 tu kwa siku ikakupa faida ya shilingi 100 tu,laki moja tayari

Mnakumbuka zile key holder za mbao zilizokuwa na majina na tafsiri zake? Yule bwana aliyezigundua ni bilionea kwa sasa anafyonza juice kwenye swimming pool pembeni ya ghorofa lake.

Alifanya utafiti wa majina maarufu nchini, ya kizungu, kiarabu na kuswahili na kutafuta maana yake, akaprinti kila jina na tafsiri yake kwenye kikaratasi akabandika kwenye kaubao na kutengeneza key holder. Aliwapiga sana watu kilaini bila TRA kumfatilia wakijua ni biashara ya kijinga.

Huo ni mfano tu, tumia fursa ya hiyo population buni kitu ingiza mtaani.

Mimi jiji lilinishinda nikaona nisiwe miongoni mwa mafala nikaenda kijijini nikafyeka vichaka nallima, kuna kazi siwezi kufanya huko daslama. Niliwahi kujaribu kufungua car wash nikawa napata wateja wengi niokua nao na kusoma nao wanakuja kuosha magari yao na VX yenye thamani ya mamilioni mimi hapo namiliki paso piston 3 ya milioni 2.5. Niliishia kupata sonona na kuamua kukaa mbali na watu ninaowafahamu nipambane bila aibu

Ewe kijana unayewaza kujiua kwa ugumu wa maisha,ewe kijana uliyemaliza chuo ukakosa ajira kwa muda mrefu. Option ni mbili tu: Acha aibu fanya biashara yoyote halali ukuze mtaji hata kama itaonekana ya kijinga
Au toka huko uliko potelea kijijini badili hata namba ya simu jishushe anza kilimo hata cha mbogamboga,ncgi yetu ina ardhi kubwa, si lazima uwe unaimiliki, omba kwa wenye nazo au kodisha ulime.
 
Mafanikio ni mipango ya MUNGU mwenyewe jamaniiii!!!
Hakuna mjanja kwenye kutafuta riziki, ebu achaneni na story za watu wapuuzi, haiwezekani watu wa DAR wakamiliki magari,nyumba na biashara kubwa sikuzote dunia iko hivyo yaani masikini na matajiri
 
Ndio akili hiyo mkuu,maana hakulazimishi anacheza na fursa,matatizo ya watu nk
Havunji sheria na huenda anachohubiri sicho anachotenda, fainali siku ya kiama kama kipo
Siku hizi baada ya watu kumshtukia kaamua kujiongelesha atakavyo.
 
Neema hutoa MWENYEZI MUNGU

Badala mwanadamu ampe sifa na utukufu MWENYEZI MUNGU mwenye Neema zake yeye mwanadamu sifa hujipa yeye mwenyewe

Mimi nina akili sana na bla bla kibao
 
Huujui ule msemo wa communism;

'Once everyone is rich, no one is'

Ufikirie.
 
Umenikumbusha zile key holder zenye majina na tafsiri zake... Doooohh?!!! Long time😂😅
 
Mafanikio ni mipango ya MUNGU mwenyewe jamaniiii!!!
Hakuna mjanja kwenye kutafuta riziki, ebu achaneni na story za watu wapuuzi, haiwezekani watu wa DAR wakamiliki magari,nyumba na biashara kubwa sikuzote dunia iko hivyo yaani masikini na matajiri
Umeongea katika muktadha wa kiimani,viongozi wa dini wanastahili kusema hivyo.
Ika tukija kiserikali watasema tufanye kazi kwa bidii ili tufanikiwe wazungu walishamuacha huyo Mungu katika kufanikisha naendeleo au mafanikio.
Tena basi kuna uhusiano mkubwa wa kufanikiwa na ushetani,matajiri wengi hutumia nguvu za giza
 
Kwa hiyo anajisifia kwa kuwahadaa watu kiimani na kujitajirisha?
 
Wote mnaoishi Dar es salaam huku mnalia maisha magumu ni mafala,aliwahi kusema Anton Lusekelo mzse wa upako

Ukipita barabarani ni foleni za magari lakini wewe huna hata pikipiki we ni

Majumba yote jiji zima lakini huna hata kiwanja wewe ni
......

Jiji lina watu milioni sita,ukibuni product yako inayoweza kuwafikia watu 1000 tu kwa siku ikakupa faida ya shilingi 100 tu,laki moja tayari

Mnakumbuka zile key holder za mbao zilizokuwa na majina na tafsiri zake? Yule bwana aliyezigundua ni bilionea kwa sasa anafyonza juice kwenye swimming pool pembeni ya ghorofa lake.

Alifanya utafiti wa majina maarufu nchini, ya kizungu, kiarabu na kuswahili na kutafuta maana yake, akaprinti kila jina na tafsiri yake kwenye kikaratasi akabandika kwenye kaubao na kutengeneza key holder. Aliwapiga sana watu kilaini bila TRA kumfatilia wakijua ni biashara ya kijinga.

Huo ni mfano tu, tumia fursa ya hiyo population buni kitu ingiza mtaani.

Mimi jiji lilinishinda nikaona nisiwe miongoni mwa mafala nikaenda kijijini nikafyeka vichaka nallima, kuna kazi siwezi kufanya huko daslama. Niliwahi kujaribu kufungua car wash nikawa napata wateja wengi niokua nao na kusoma nao wanakuja kuosha magari yao na VX yenye thamani ya mamilioni mimi hapo namiliki paso piston 3 ya milioni 2.5. Niliishia kupata sonona na kuamua kukaa mbali na watu ninaowafahamu nipambane bila aibu

Ewe kijana unayewaza kujiua kwa ugumu wa maisha,ewe kijana uliyemaliza chuo ukakosa ajira kwa muda mrefu. Option ni mbili tu: Acha aibu fanya biashara yoyote halali ukuze mtaji hata kama itaonekana ya kijinga
Au toka huko uliko potelea kijijini badili hata namba ya simu jishushe anza kilimo hata cha mbogamboga,ncgi yetu ina ardhi kubwa, si lazima uwe unaimiliki, omba kwa wenye nazo au kodisha ulime.

Mjinga mjinga kawapiga sana nauli wajinga wajinga wenzake waliokuwa wanatafuta utajiri kwa shortcuts. Eti nakuombea upate hela😂😂😂😂

Ulofa wa akili kitu kibaya sana. Usifanye kazi unakuwaje na hela?
 
Niliishia kupata sonona na kuamua kukaa mbali na watu ninaowafahamu nipambane bila aibu
Niliposama hapa nimeona ulichokiandika choooote kimepoteza maana sasa wewe tumbili mwitu unachofanya hapo na wanachofanya wenzio kina tofauti gani? Aibu si ndio? Kwa hio wenzio mafala hawaoni aibu? Wewe aibu imekushinda umeenda kujificha maporini huko upambane na mawe na visiki vigumu bila kuonekana na watu au sio?

Kwa hio wenzio wapite wanaokota machupa bila aibu na vyuma chakavu bila kuona aibu au unasemaje? Wauze karanga kwa faida ya 100 kwa watu 1000 jibu ni faida 100,000 sio 1,000,000 (usikurupuke) na usivyojua huwezi kuuzia watu 1000 kwa siku 1 km umekaa sehemu 1 yaan unatakiwa uwe na multiple-choice of sell sasa hao watakao kuuzia maeneo tofauti utawalipa kiasi gani?

Muda mwingine msiwe mnakurupukia mada bila kufanya research ya kutosha na kuja na findings zenye mashiko
 
Niliposama hapa nimeona ulichokiandika choooote kimepoteza maana sasa wewe tumbili mwitu unachofanya hapo na wanachofanya wenzio kina tofauti gani? Aibu si ndio? Kwa hio wenzio mafala hawaoni aibu? Wewe aibu imekushinda umeenda kujificha maporini huko upambane na mawe na visiki vigumu bila kuonekana na watu au sio?

Kwa hio wenzio wapite wanaokota machupa bila aibu na vyuma chakavu bila kuona aibu au unasemaje? Wauze karanga kwa faida ya 100 kwa watu 1000 jibu ni faida 100,000 sio 1,000,000 (usikurupuke) na usivyojua huwezi kuuzia watu 1000 kwa siku 1 km umekaa sehemu 1 yaan unatakiwa uwe na multiple-choice of sell sasa hao watakao kuuzia maeneo tofauti utawalipa kiasi gani?

Muda mwingine msiwe mnakurupukia mada bila kufanya research ya kutosha na kuja na findings zenye mashiko
Huwezi juelewa hiyo code we kuku maji,kufanikiwa sehemu uliyozaliwa kupitia kupambana ni ngumu sana.
Mimi huku nilipo hakuna anayejua elimu yangu waka background yangu,nilipambana
Nikapata mtaji sasa mimi ni mkulima mkubwa sana huku manyara,ningebaki mjini ningekufa masikini kama wewe
 
Huwezi juelewa hiyo code we kuku maji,kufanikiwa sehemu uliyozaliwa kupitia kupambana ni ngumu sana.
Mimi huku nilipo hakuna anayejua elimu yangu waka background yangu,nilipambana
Nikapata mtaji sasa mimi ni mkulima mkubwa sana huku manyara,ningebaki mjini ningekufa masikini kama wewe
Chai
 
Back
Top Bottom