Mzee wangu ameniharibu!

Mzee wangu ameniharibu!

Zee Korofi

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2021
Posts
1,604
Reaction score
1,430
Good afternoon brothers. Majukumu ya malezi yanakwendaje?

Uhusiano wangu na jamii;

Tangu nazaliwa na kuanza kujitambua, mzee wangu amenilea malezi ambayo naona magumu yake na athari zake muda huu. Nina 'traits' za kushangaza ila naomba mjikite kwenye kutoa ushauri na ufafanuzi tafadhali;

Mpaka umri huu sinywi pombe na sivuti sigara, sikati kona katika 'circular way', yaani ni lazima nitengeneze nyuzi karibia tisini, toka udogo nimelelewa hivyo.

Mpaka muda huu nakumbuka sijawahi kucheka, ila kutabasamu kwa sekunde zisizozidi 10. Huwa nacheka nikiwa peke yangu tu.

Huwa nalia peke yangu nikiona watoto wadogo wanakufa kwa kukosa pesa za matibabu, wanyama wanateseka n.k, huwa hata chakula hakipiti. Siku yangu huharibika kabisa.

Sili na sikumbuki kama nimewahi kula kwa watu au jirani, nimelelewa hivyo, hata nikiwa na njaa ni lazima nirudi nyumbani ndipo nile.

Nimefundishwa na mzee kutocheka hata na ndugu yangu, endapo hakuna kitu cha msingi cha kucheka, na nipo hivyo.

Nikitembea sigeuki nyuma, na nikigeuka basi ni kwa haraka mno na ni kichwa pekee tu, na siyo mwili wote. Napenda mno kufanya mapenzi.

Sijui ku'fake' kicheko au kilio, ukinichekesha hata kwa lisaa lizima, kama sijafurahi nitaishia kutabasamu tu tena kwa mbali.

Mzee amenifundisha kutoogopa yeyote hata akiwa mtu mkubwa kiasi gani, ila niheshimu kila mtu.

Haya yananitesa mno na kupelekea watu kuniogopa na kuniona kama 'maniac', hasa kwa hili la kuwa na uso mkavu na kutoigiza kicheko wala tabasamu. Nimekosa baadhi ya fursa kwa sababu hii. Mzee ameniharibu mno kwani sipendi hali hii, na ingekuwa amri yangu nisingekubali.

Hii ndiyo hali yangu halisi, sijui nitatokaje
 
Kuna sehemu Ukienda mzee kama Zanzibar jifunze kugeuka nyuma.

There is a saying in English "The one who laugh last understand least". Ila linaweza kuwa tatizo kuwa hucheki au labda hujapata kitu cha kukuchekesha. Tatizo lingine linaweza jitokeza pale utakapocheka na ukajikuta una kicheko kibaya 😄
 
Duuh mkuu hayo sio maisha ukiendelea kuishi hivyo kuna vitu vingi na fursa nyingi utazikosa na mwisho kuona jamii aikupendi lakini kumbe wewe ndo tatizo jifunze kuwa karibu na watu jichanganye na jamii yaan badirisha mfumo wako wa maisha uta enjoy Sana kwani mambo nimengi
Kuna kusaidiana kesho.
Kuna kupeana michongo na deals .
Kuna kujitengenezea connection mbali mbali kwani ndo connection ndo funguo ya mafanikio mbalimbali ya kimaisha.
Anza kubadilila mkuu bila hivyo maisha utayaona magumu sana na mambo hayaendi kabsa kumbe tatizo ni wewe.
 
Duuh mkuu hayo sio maisha ukiendelea kuishi hivyo kuna vitu vingi na fursa nyingi utazikosa na mwisho kuona jamii aikupendi lakini kumbe wewe ndo tatizo jifunze kuwa karibu na watu jichanganye na jamii yaan badirisha mfumo wako wa maisha uta enjoy Sana kwani mambo nimengi
Kuna kusaidiana kesho.
Kuna kupeana michongo na deals .
Kuna kujitengenezea connection mbali mbali kwani ndo connection ndo funguo ya mafanikio mbalimbali ya kimaisha.
Anza kubadilila mkuu bila hivyo maisha utayaona magumu sana na mambo hayaendi kabsa kumbe tatizo ni wewe.
Well spoken
 
Good afternoon brothers. Majukumu ya malezi yanakwendaje?

Uhusiano wangu na jamii;

Tangu nazaliwa na kuanza kujitambua, mzee wangu amenilea malezi ambayo naona magumu yake na athari zake muda huu. Nina 'traits' za kushangaza ila naomba mjikite kwenye kutoa ushauri na ufafanuzi tafadhali;

Mpaka umri huu sinywi pombe na sivuti sigara, sikati kona katika 'circular way', yaani ni lazima nitengemeze nyuzi karibia tisini, toka udogo nimelelewa hivyo.

Mpaka muda huu nakumbuka sijawahi kucheka, ila kutabasamu kwa sekunde zisizozidi 10. Huwa nacheka nikiwa peke yangu tu.

Huwa nalia peke yangu nikiona watoto wadogo wanakufa kwa kukosa pesa za matibabu, wanyama wanateseka n.k, huwa hata chakula hakipiti. Siku yangu huharibika kabisa.

Sili na sikumbuki kama nimewahi kula kwa watu au jirani, nimelelewa hivyo, hata nikiwa na njaa ni lazima nirudi nyumbani ndipo nile.

Nimefundishwa na mzee kutocheka hata na ndugu yangu, endapo hakuna kitu cha msingi cha kucheka, na nipo hivyo.

Nikitembea sigeuki nyuma, na nikigeuka basi ni kwa haraka mno na ni kichwa pekee tu, na siyo mwili wote. Napenda mno kufanya mapenzi.

Sijui ku'fake' kicheko au kilio, ukinichekesha hata kwa lisaa lizima, kama sijafurahi nitaishia kutabasamu tu tena kwa mbali.

Mzee amenifundisha kutoogopa yeyote hata akiwa mtu mkubwa kiasi gani, ila niheshimu kila mtu.

Haya yananitesa mno na kupelekea watu kuniogopa na kuniona kama 'maniac', hasa kwa hili la kuwa na uso mkavu na kutoigiza kicheko wala tabasamu. Nimekosa baadhi ya fursa kwa sababu hii. Mzee ameniharibu mno kwani sipendi hali hii, na ingekuwa amri yangu nisingekubali.

Hii ndiyo hali yangu halisi, sijui nitatokaje
Wewe ni fallar
 
mzee wako alikuwa askali kikosi gani tuwaite vijana wa op Nyerere kambi ya orojolo watufafanulie kwann makamanda wa zamani walikua mangwakwa sana
 
Kabsaa mwanaume unataka kuchekacheka hiyo ni tabia ya kike bro, mzee wako alikufunza vyema
Ishu sio kucheka ishu ni kuishi vizur na jamii inayokuzunguka mkuu yaan huyo kwa maisha hayo alio nayo maanayake hawezi ku interact na watu sasa unafikili ni maisha gani hayo hata wewe ninauwakika haushi kama yeye anavoishi hayo maisha kubali ukatae ila ukweli unaujua wewe mkuu
 
Ishu sio kucheka ishu ni kuishi vizur na jamii inayokuzunguka mkuu yaan huyo kwa maisha hayo alio nayo maanayake hawezi ku interact na watu sasa unafikili ni maisha gani hayo hata wewe ninauwakika haushi kama yeye anavoishi hayo maisha kubali ukatae ila ukweli unaujua wewe mkuu
Ni kweli, na ndiyo sababu nipo JF muda mwingi.
 
Ishi na watu mtoa mada
IMG_20220702_152732.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi mbona watu ni wapuuzi kweli?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kunguru wa Manzese umezingua aisee
 
Good afternoon brothers. Majukumu ya malezi yanakwendaje?

Uhusiano wangu na jamii;

Tangu nazaliwa na kuanza kujitambua, mzee wangu amenilea malezi ambayo naona magumu yake na athari zake muda huu. Nina 'traits' za kushangaza ila naomba mjikite kwenye kutoa ushauri na ufafanuzi tafadhali;

Mpaka umri huu sinywi pombe na sivuti sigara, sikati kona katika 'circular way', yaani ni lazima nitengemeze nyuzi karibia tisini, toka udogo nimelelewa hivyo.

Mpaka muda huu nakumbuka sijawahi kucheka, ila kutabasamu kwa sekunde zisizozidi 10. Huwa nacheka nikiwa peke yangu tu.

Huwa nalia peke yangu nikiona watoto wadogo wanakufa kwa kukosa pesa za matibabu, wanyama wanateseka n.k, huwa hata chakula hakipiti. Siku yangu huharibika kabisa.

Sili na sikumbuki kama nimewahi kula kwa watu au jirani, nimelelewa hivyo, hata nikiwa na njaa ni lazima nirudi nyumbani ndipo nile.

Nimefundishwa na mzee kutocheka hata na ndugu yangu, endapo hakuna kitu cha msingi cha kucheka, na nipo hivyo.

Nikitembea sigeuki nyuma, na nikigeuka basi ni kwa haraka mno na ni kichwa pekee tu, na siyo mwili wote. Napenda mno kufanya mapenzi.

Sijui ku'fake' kicheko au kilio, ukinichekesha hata kwa lisaa lizima, kama sijafurahi nitaishia kutabasamu tu tena kwa mbali.

Mzee amenifundisha kutoogopa yeyote hata akiwa mtu mkubwa kiasi gani, ila niheshimu kila mtu.

Haya yananitesa mno na kupelekea watu kuniogopa na kuniona kama 'maniac', hasa kwa hili la kuwa na uso mkavu na kutoigiza kicheko wala tabasamu. Nimekosa baadhi ya fursa kwa sababu hii. Mzee ameniharibu mno kwani sipendi hali hii, na ingekuwa amri yangu nisingekubali.

Hii ndiyo hali yangu halisi, sijui nitatokaje
Technically we ni mchawi
 
Good afternoon brothers. Majukumu ya malezi yanakwendaje?

Uhusiano wangu na jamii;

Tangu nazaliwa na kuanza kujitambua, mzee wangu amenilea malezi ambayo naona magumu yake na athari zake muda huu. Nina 'traits' za kushangaza ila naomba mjikite kwenye kutoa ushauri na ufafanuzi tafadhali;

Mpaka umri huu sinywi pombe na sivuti sigara, sikati kona katika 'circular way', yaani ni lazima nitengemeze nyuzi karibia tisini, toka udogo nimelelewa hivyo.

Mpaka muda huu nakumbuka sijawahi kucheka, ila kutabasamu kwa sekunde zisizozidi 10. Huwa nacheka nikiwa peke yangu tu.

Huwa nalia peke yangu nikiona watoto wadogo wanakufa kwa kukosa pesa za matibabu, wanyama wanateseka n.k, huwa hata chakula hakipiti. Siku yangu huharibika kabisa.

Sili na sikumbuki kama nimewahi kula kwa watu au jirani, nimelelewa hivyo, hata nikiwa na njaa ni lazima nirudi nyumbani ndipo nile.

Nimefundishwa na mzee kutocheka hata na ndugu yangu, endapo hakuna kitu cha msingi cha kucheka, na nipo hivyo.

Nikitembea sigeuki nyuma, na nikigeuka basi ni kwa haraka mno na ni kichwa pekee tu, na siyo mwili wote. Napenda mno kufanya mapenzi.

Sijui ku'fake' kicheko au kilio, ukinichekesha hata kwa lisaa lizima, kama sijafurahi nitaishia kutabasamu tu tena kwa mbali.

Mzee amenifundisha kutoogopa yeyote hata akiwa mtu mkubwa kiasi gani, ila niheshimu kila mtu.

Haya yananitesa mno na kupelekea watu kuniogopa na kuniona kama 'maniac', hasa kwa hili la kuwa na uso mkavu na kutoigiza kicheko wala tabasamu. Nimekosa baadhi ya fursa kwa sababu hii. Mzee ameniharibu mno kwani sipendi hali hii, na ingekuwa amri yangu nisingekubali.

Hii ndiyo hali yangu halisi, sijui nitatokaje
Alivyokulea Mzee wako ndivyo nitakavyolea wanangu.
Kuvuta sigara na kunywa pombe sio furaha yako,furaha yako wewe ipo kwenye kuchakata mbunye.

Mwanaume anatakiwa kuwa hivyo,kikubwa kama kipato chako kinahitaji zaidi socialization basi jitahidi kufanya hivyo otherwise upo vizuri.Tafuta pesa,shiriki mambo ya kijamii na chakata papuchi ado ado.
 
Back
Top Bottom