Mzee wangu anasumbuliwa na miguu kwa kidonda cha 2009

Mzee wangu anasumbuliwa na miguu kwa kidonda cha 2009

MAKANGEMBUZI

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2020
Posts
2,670
Reaction score
7,655
Habari zenu wataalamu wa afya na wajuaji wa mambo humu
JamiiForums

Iko hivi nina mzee wangu kwa sasa ana miaka 53 sio mzee sana ila ni Bonge ana mwili kama wa hayati mzee wa Lupaso.

Mwaka 2009 alipata ajali mbaya ya gari alipona lakini maji ya rejeta yote yaliishia kwenye miguu yake aliiva haswa, Isingekuwa kuwa na uchumi wa hapa na pale mzee wangu angekatwa miguu kwa sababu kuna mzee alikuwa anakuja kusafisha kidonda kila siku anaitwa mzee Jumanne (Mungu amtunze)alikuwa anakunja tsh 20,000 huku kipindi chote hiko mzee akiwa ni wa nyumbani tu.

Sasa baada ya matibabu kwa kipindi cha mienzi 8 akapona kabisa na kubaki na makovu makubwa tu miguuni mpaka leo ni takribani miaka 15 imepita sasa jana mzee analalamika

"Habari ya huko mimi naumwa sana mguu nina wiki tangu nitoke Dar nimelala tu sifanyi kazi" niliondoka Dar mguu unauma kilianza kidonda kwenye kovu la ajal mpaka sasa bado mguu unanisumbua sana"

Naombeni kujua hii kitu inatokana na nini na muafaka wake ni upi?Hospital kaenda ila binafsi naamini humu kuna wataalamu wengi nataka kujua tu kitaalamu inakuwaje nawaza au kwa vile ni bonge mafuta mengi miguuni sipati majibu,namuonea sana huruma mzee wangu kwakweli anapambana mno.

Kweli uanaume ni mateso.
 
Habari zenu wataalamu wa afya na wajuaji wa mambo humu
JamiiForums

Iko hivi nina mzee wangu kwa sasa ana miaka 53 sio mzee sana ila ni Bonge ana mwili kama wa hayati mzee wa Lupaso.

Mwaka 2009 alipata ajali mbaya ya gari alipona lakini maji ya rejeta yote yaliishia kwenye miguu yake aliiva haswa, Isingekuwa kuwa na uchumi wa hapa na pale mzee wangu angekatwa miguu kwa sababu kuna mzee alikuwa anakuja kusafisha kidonda kila siku anaitwa mzee Jumanne (Mungu amtunze)alikuwa anakunja tsh 20,000 huku kipindi chote hiko mzee akiwa ni wa nyumbani tu.

Sasa baada ya matibabu kwa kipindi cha mienzi 8 akapona kabisa na kubaki na makovu makubwa tu miguuni mpaka leo ni takribani miaka 15 imepita sasa jana mzee analalamika

"Habari ya huko mimi naumwa sana mguu nina wiki tangu nitoke Dar nimelala tu sifanyi kazi" niliondoka Dar mguu unauma kilianza kidonda kwenye kovu la ajal mpaka sasa bado mguu unanisumbua sana"

Naombeni kujua hii kitu inatokana na nini na muafaka wake ni upi?Hospital kaenda ila binafsi naamini humu kuna wataalamu wengi nataka kujua tu kitaalamu inakuwaje nawaza au kwa vile ni bonge mafuta mengi miguuni sipati majibu,namuonea sana huruma mzee wangu kwakweli anapambana mno.

Kweli uanaume ni mateso.
Nendeni hospital. Huwezi kujua sababu bila kufanya diagnosis.
 
Kidonda kutopona kwa usahihi au kwa wakati kunaambatana pia na magonjwa mengine, nashauri kwa hili tatizo na kupata vipimo sahihi ni kwenda hospitali kubwa ili kufanya hivyo vipimo na kupata majibu sahihi.
 
Habari zenu wataalamu wa afya na wajuaji wa mambo humu
JamiiForums

Iko hivi nina mzee wangu kwa sasa ana miaka 53 sio mzee sana ila ni Bonge ana mwili kama wa hayati mzee wa Lupaso.

Mwaka 2009 alipata ajali mbaya ya gari alipona lakini maji ya rejeta yote yaliishia kwenye miguu yake aliiva haswa, Isingekuwa kuwa na uchumi wa hapa na pale mzee wangu angekatwa miguu kwa sababu kuna mzee alikuwa anakuja kusafisha kidonda kila siku anaitwa mzee Jumanne (Mungu amtunze)alikuwa anakunja tsh 20,000 huku kipindi chote hiko mzee akiwa ni wa nyumbani tu.

Sasa baada ya matibabu kwa kipindi cha mienzi 8 akapona kabisa na kubaki na makovu makubwa tu miguuni mpaka leo ni takribani miaka 15 imepita sasa jana mzee analalamika

"Habari ya huko mimi naumwa sana mguu nina wiki tangu nitoke Dar nimelala tu sifanyi kazi" niliondoka Dar mguu unauma kilianza kidonda kwenye kovu la ajal mpaka sasa bado mguu unanisumbua sana"

Naombeni kujua hii kitu inatokana na nini na muafaka wake ni upi?Hospital kaenda ila binafsi naamini humu kuna wataalamu wengi nataka kujua tu kitaalamu inakuwaje nawaza au kwa vile ni bonge mafuta mengi miguuni sipati majibu,namuonea sana huruma mzee wangu kwakweli anapambana mno.

Kweli uanaume ni mateso.
Pole sana,kabla hamjaenda mbali sana, apime damu kuangalia kama ana maradhi mengine yoyote,kabla hajaendelea na matibabu mengine yatakayomgharimu pesa nyingi.Baada ya hapo ndio ujuwe mnapambana na ugonjwa kivipi...
 
Habari zenu wataalamu wa afya na wajuaji wa mambo humu
JamiiForums

Iko hivi nina mzee wangu kwa sasa ana miaka 53 sio mzee sana ila ni Bonge ana mwili kama wa hayati mzee wa Lupaso.

Mwaka 2009 alipata ajali mbaya ya gari alipona lakini maji ya rejeta yote yaliishia kwenye miguu yake aliiva haswa, Isingekuwa kuwa na uchumi wa hapa na pale mzee wangu angekatwa miguu kwa sababu kuna mzee alikuwa anakuja kusafisha kidonda kila siku anaitwa mzee Jumanne (Mungu amtunze)alikuwa anakunja tsh 20,000 huku kipindi chote hiko mzee akiwa ni wa nyumbani tu.

Sasa baada ya matibabu kwa kipindi cha mienzi 8 akapona kabisa na kubaki na makovu makubwa tu miguuni mpaka leo ni takribani miaka 15 imepita sasa jana mzee analalamika

"Habari ya huko mimi naumwa sana mguu nina wiki tangu nitoke Dar nimelala tu sifanyi kazi" niliondoka Dar mguu unauma kilianza kidonda kwenye kovu la ajal mpaka sasa bado mguu unanisumbua sana"

Naombeni kujua hii kitu inatokana na nini na muafaka wake ni upi?Hospital kaenda ila binafsi naamini humu kuna wataalamu wengi nataka kujua tu kitaalamu inakuwaje nawaza au kwa vile ni bonge mafuta mengi miguuni sipati majibu,namuonea sana huruma mzee wangu kwakweli anapambana mno.

Kweli uanaume ni mateso.
Pole sana ndugu je ajawahi kuwa na kesi yeyote ya ugonjwa wa kisukari? Cc ephen_ Fake P
 
Habari zenu wataalamu wa afya na wajuaji wa mambo humu
JamiiForums

Iko hivi nina mzee wangu kwa sasa ana miaka 53 sio mzee sana ila ni Bonge ana mwili kama wa hayati mzee wa Lupaso.

Mwaka 2009 alipata ajali mbaya ya gari alipona lakini maji ya rejeta yote yaliishia kwenye miguu yake aliiva haswa, Isingekuwa kuwa na uchumi wa hapa na pale mzee wangu angekatwa miguu kwa sababu kuna mzee alikuwa anakuja kusafisha kidonda kila siku anaitwa mzee Jumanne (Mungu amtunze)alikuwa anakunja tsh 20,000 huku kipindi chote hiko mzee akiwa ni wa nyumbani tu.

Sasa baada ya matibabu kwa kipindi cha mienzi 8 akapona kabisa na kubaki na makovu makubwa tu miguuni mpaka leo ni takribani miaka 15 imepita sasa jana mzee analalamika

"Habari ya huko mimi naumwa sana mguu nina wiki tangu nitoke Dar nimelala tu sifanyi kazi" niliondoka Dar mguu unauma kilianza kidonda kwenye kovu la ajal mpaka sasa bado mguu unanisumbua sana"

Naombeni kujua hii kitu inatokana na nini na muafaka wake ni upi?Hospital kaenda ila binafsi naamini humu kuna wataalamu wengi nataka kujua tu kitaalamu inakuwaje nawaza au kwa vile ni bonge mafuta mengi miguuni sipati majibu,namuonea sana huruma mzee wangu kwakweli anapambana mno.

Kweli uanaume ni mateso.
Huduma ya kwanza

1. Aache kutumia chakula Chenye sukari na chumvi complete kwa wiki mbili.

2. Aaanze kutumia bicarbonate kijiko cha chai kwenye maji ya kunywa. Akichanhanya na ndimu ni bora zaidi.

Bicarbonate ni alkaline 100% na unaenda kuunguza asid mwilini. Chanzo kikuu cha mwili kuwa dhaifu.

Kama ana MBADALA wa wali, ngano na sembe basi aache.

Kama hana badi nusu ya chakula hivyo kichanganemywe na unga au chenga za mbaazi.

Ukiweza hiyo mbali iweze nusu na robo kwenye ngano, sembe au Michele kumbuka kuchomoka mbaazi kama unavyochoma karanga kuondoa humidity kusha koboa au saga.

Aendelee kula barua za kunde, chai ya manjano, boga, karanga kuwa ndicho chakula chake kikuu

Wakati huo huo awe anakwenda hospitali kuendelea na tiba.
 
Back
Top Bottom