MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Habari zenu wataalamu wa afya na wajuaji wa mambo humu
JamiiForums
Iko hivi nina mzee wangu kwa sasa ana miaka 53 sio mzee sana ila ni Bonge ana mwili kama wa hayati mzee wa Lupaso.
Mwaka 2009 alipata ajali mbaya ya gari alipona lakini maji ya rejeta yote yaliishia kwenye miguu yake aliiva haswa, Isingekuwa kuwa na uchumi wa hapa na pale mzee wangu angekatwa miguu kwa sababu kuna mzee alikuwa anakuja kusafisha kidonda kila siku anaitwa mzee Jumanne (Mungu amtunze)alikuwa anakunja tsh 20,000 huku kipindi chote hiko mzee akiwa ni wa nyumbani tu.
Sasa baada ya matibabu kwa kipindi cha mienzi 8 akapona kabisa na kubaki na makovu makubwa tu miguuni mpaka leo ni takribani miaka 15 imepita sasa jana mzee analalamika
"Habari ya huko mimi naumwa sana mguu nina wiki tangu nitoke Dar nimelala tu sifanyi kazi" niliondoka Dar mguu unauma kilianza kidonda kwenye kovu la ajal mpaka sasa bado mguu unanisumbua sana"
Naombeni kujua hii kitu inatokana na nini na muafaka wake ni upi?Hospital kaenda ila binafsi naamini humu kuna wataalamu wengi nataka kujua tu kitaalamu inakuwaje nawaza au kwa vile ni bonge mafuta mengi miguuni sipati majibu,namuonea sana huruma mzee wangu kwakweli anapambana mno.
Kweli uanaume ni mateso.
JamiiForums
Iko hivi nina mzee wangu kwa sasa ana miaka 53 sio mzee sana ila ni Bonge ana mwili kama wa hayati mzee wa Lupaso.
Mwaka 2009 alipata ajali mbaya ya gari alipona lakini maji ya rejeta yote yaliishia kwenye miguu yake aliiva haswa, Isingekuwa kuwa na uchumi wa hapa na pale mzee wangu angekatwa miguu kwa sababu kuna mzee alikuwa anakuja kusafisha kidonda kila siku anaitwa mzee Jumanne (Mungu amtunze)alikuwa anakunja tsh 20,000 huku kipindi chote hiko mzee akiwa ni wa nyumbani tu.
Sasa baada ya matibabu kwa kipindi cha mienzi 8 akapona kabisa na kubaki na makovu makubwa tu miguuni mpaka leo ni takribani miaka 15 imepita sasa jana mzee analalamika
"Habari ya huko mimi naumwa sana mguu nina wiki tangu nitoke Dar nimelala tu sifanyi kazi" niliondoka Dar mguu unauma kilianza kidonda kwenye kovu la ajal mpaka sasa bado mguu unanisumbua sana"
Naombeni kujua hii kitu inatokana na nini na muafaka wake ni upi?Hospital kaenda ila binafsi naamini humu kuna wataalamu wengi nataka kujua tu kitaalamu inakuwaje nawaza au kwa vile ni bonge mafuta mengi miguuni sipati majibu,namuonea sana huruma mzee wangu kwakweli anapambana mno.
Kweli uanaume ni mateso.