ghiliba na kupotezea alivyosokomezwa lisu na Polisi kwenye gari Mbeya mtu mzima,sauti ya watanzania,wazee wa kumsagia Mbowe mpo!Lissu asipokee hiyo hela , misaada mingine ni ya kinafiki
Misaada ya kidhalilishaji
Lissu akiipokea hii hela atakuwa amekosa umakini kwa kiwango kikubwa. Huu ni msaada wa kisiasa, kuitakatisha CCM mbele ya umma
Acha kujipendekeza Nchimbi ana mke usimwingize kwenye mambo yako ya upindeCCM wana roho njema sana, sasa wamechukua jukumu la kuhakikisha Tundu Lissu anapata gari. Chadema wameshindwa kumpa gari kiongozi wao mkuu.
Nashauri kila mkutano wa CCM wamchangie Lissu, na pia Mama Samia ampe surprise ya mchango katika moja ya mikutano ya hadhara.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CCM wamchangia Lissu Milioni 5 atengeneze gari lake. Lissu azipokea
CCM wana roho njema sana, sasa wamechukua jukumu la kuhakikisha Tundu Lissu anapata gari. Chadema wameshindwa kumpa gari kiongozi wao mkuu.
Nashauri kila mkutano wa CCM wamchangie Lissu, na pia Mama Samia ampe surprise ya mchango katika moja ya mikutano ya hadhara.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CCM wamchangia Lissu Milioni 5 atengeneze gari lake. Lissu azipokea