Warioba simuoni kama mzaledo wa kweli
Katika bodi ya TTCL amesima kwa niaba ya airtel na amekuwa kikwazo kikubwa kwa TTCL kutaka kuwekeza ktk GSM au kuunga mkono wazo la kutafuta mkopo kuboresha TTCL kisa eti inapingana na maslahi ya anaowakilisha(Airtel) . Anataka TTCL ife na isitoe upinzani kwa anaowawakilisha, aitel( zamani celtel) imjengwa jUu ya mgongo wa TTCL kama mali ya TTCL baadaye TTCL kupokwa mali yake bila malipo yoyote kwa kupitia nguvu za kifisadi za Omary issah , Salim H. Salim wakishirikiana na Warioba . Kwa ujumla ni moja kati ya wahujumu wakubwa wa TTCL mali ya watanzania