Buyaka JF-Expert Member Joined Jul 29, 2010 Posts 1,705 Reaction score 1,953 Apr 7, 2012 #21 Mr.mzumbe said: waingereza wazawa? Click to expand... hapana, Waingereza hawakuwa wazawa, na ndio maana tunaibadilisha hii Katiba, maana iliandikwa na ambao si wazawa, sasa hatuwezi tena kuandikiwa katiba na mtu anaitwa "Shivji."
Mr.mzumbe said: waingereza wazawa? Click to expand... hapana, Waingereza hawakuwa wazawa, na ndio maana tunaibadilisha hii Katiba, maana iliandikwa na ambao si wazawa, sasa hatuwezi tena kuandikiwa katiba na mtu anaitwa "Shivji."
M Mahongole Member Joined May 5, 2009 Posts 13 Reaction score 2 Apr 7, 2012 #22 Hongera sana Mhe Rais JK. May God bless you. Tume ni nzuro sana
P peter tumaini JF-Expert Member Joined Feb 3, 2012 Posts 573 Reaction score 94 Apr 10, 2012 #23 JK katimiza wajibu wake.tunaomba na tume mtimize wajibu wenu. Sitaamini kwa majina hayo kusikia story za kuburuzwa na amini wengi wao umri umeenda tunachohitaji kwao ni kuacha LEGACY=NEW CONSTITUTION.
JK katimiza wajibu wake.tunaomba na tume mtimize wajibu wenu. Sitaamini kwa majina hayo kusikia story za kuburuzwa na amini wengi wao umri umeenda tunachohitaji kwao ni kuacha LEGACY=NEW CONSTITUTION.