Pre GE2025 Mzee Wasira anadai Mwita Waitara alikuwa akiwatumia vijana wa Tarime kufanya fujo

Pre GE2025 Mzee Wasira anadai Mwita Waitara alikuwa akiwatumia vijana wa Tarime kufanya fujo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Wakuu huyu mzee wenu bila kuitaja CHADEMA hasikii raha kabisa

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, ameishutumu CHADEMA kwa kile alichodai kuwa chama hicho kimekuwa kikiwatumia vijana wa Tarime kama majeshi ya kukodi kwa ajili ya vurugu katika maeneo mbalimbali nchini.

"Kuna wakati kabla Waitara hajabatizwa, alipeleka vijana kufanya fujo, wakapata matatizo, na hata yeye mwenyewe akalazwa hospitalini. Baadaye akapona, akarudi, tukambatiza na kumpa kofia ya CCM," amesema Wasira.

Ameongeza kuwa badala ya kujiingiza katika fujo zisizo na tija, vijana wa Tarime wanapaswa kutumia fursa zilizopo wilayani humo, ikiwemo sekta ya madini na kilimo, ili kujiletea maendeleo.

"Tarime tuna rasilimali nyingi; tuna madini, wachimbaji wadogo na ardhi yenye rutuba. Tuwasaidie vijana wetu kuzitumia fursa hizi badala ya kutumiwa na wanasiasa kwa maslahi yao," amesisitiza.

Aidha, ameitaka CHADEMA kuacha mara moja kuchukua vijana wa Tarime kwa ajili ya vurugu, akisisitiza kuwa Tarime sio eneo la mapambano na vijana wake hawapaswi kukodishwa kwa ajili ya machafuko.






Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Wakuu huyu mzee wenu bila kuitaja CHADEMA hasikii raha kabisa

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, ameishutumu CHADEMA kwa kile alichodai kuwa chama hicho kimekuwa kikiwatumia vijana wa Tarime kama majeshi ya kukodi kwa ajili ya vurugu katika maeneo mbalimbali nchini.

"Kuna wakati kabla Waitara hajabatizwa, alipeleka vijana kufanya fujo, wakapata matatizo, na hata yeye mwenyewe akalazwa hospitalini. Baadaye akapona, akarudi, tukambatiza na kumpa kofia ya CCM," amesema Wasira.

Ameongeza kuwa badala ya kujiingiza katika fujo zisizo na tija, vijana wa Tarime wanapaswa kutumia fursa zilizopo wilayani humo, ikiwemo sekta ya madini na kilimo, ili kujiletea maendeleo.

"Tarime tuna rasilimali nyingi; tuna madini, wachimbaji wadogo na ardhi yenye rutuba. Tuwasaidie vijana wetu kuzitumia fursa hizi badala ya kutumiwa na wanasiasa kwa maslahi yao," amesisitiza.

Aidha, ameitaka CHADEMA kuacha mara moja kuchukua vijana wa Tarime kwa ajili ya vurugu, akisisitiza kuwa Tarime sio eneo la mapambano na vijana wake hawapaswi kukodishwa kwa ajili ya machafuko.

View attachment 3231848

Duh, kitu toka hifadhi ya Gombe kabisa hicho
 
Vema arudi hifadhini maana taarifa anayotoa ni chochevu.Huko hifadhini athari ni ndogo kwa jamii
 
Back
Top Bottom