Chachu Ombara JF-Expert Member Joined Dec 11, 2012 Posts 6,067 Reaction score 10,938 Feb 5, 2025 #1 Huyu Mzee naona anakoelekea siko kabisa, ni mwendelezo wa kujikomba. Akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 48 ya CCM ametoa kauli hiyo. Your browser is not able to display this video.
Huyu Mzee naona anakoelekea siko kabisa, ni mwendelezo wa kujikomba. Akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 48 ya CCM ametoa kauli hiyo. Your browser is not able to display this video.
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 128,308 Reaction score 245,426 Feb 5, 2025 #2 Bado anazo kumbukumbu?
J John Wickzer Mulholland JF-Expert Member Joined Apr 13, 2023 Posts 6,656 Reaction score 14,403 Feb 5, 2025 #3 Chachu Ombara said: Huyu Mzee naona anakoelekea siko kabisa, ni mwendelezo wa kujikomba. Akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 48 ya CCM ametoa kauli hiyo. Click to expand... Erythrocyte said: Bado anazo kumbukumbu? Click to expand... Kujibizana na mtu Kama mzee Wasira ni kukosa kazi za kufanya, mtu amechoka mwili na akili kama huyo kwa nini upoteze muda na nguvu zako kwa kujibizana naye?
Chachu Ombara said: Huyu Mzee naona anakoelekea siko kabisa, ni mwendelezo wa kujikomba. Akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 48 ya CCM ametoa kauli hiyo. Click to expand... Erythrocyte said: Bado anazo kumbukumbu? Click to expand... Kujibizana na mtu Kama mzee Wasira ni kukosa kazi za kufanya, mtu amechoka mwili na akili kama huyo kwa nini upoteze muda na nguvu zako kwa kujibizana naye?